Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Refurbished za midrange nyingi zinatoka Ulaya Mashariki, Simu kama A55 official haipo Nchi nyingi kubwa so refurbished yake nayo haitoki huko.Kitu ambacho wengi hawajashtuka....
Refurb za Flagship ndio zinaongoza kwa kuharibika mapema kuliko refurb za midrange (A-Series) .
Hii ni kwa Samsung, nyingine Sina uzoefu.
Tofauti ya refub and used ni ndogo mno. Moja ilikuwa mbovu ikarekebishwa na kupewa waranty wakati nyingine ilikuwa ikitumika ikapelekwa sokoni bila warranty...wakubwa naomba shule kidogo. Assume nahitaji kununua flagship phones (sina pesa ya kununua mpya) let us say Samsung Note 20, je utanishauri nichukue refub or used?
Mwenye shule poa atusaidie kuzielewa hizi products faida na hasara zake. Je performance zake mf kwa picha zina ubora gani?
Asante
Kuna Mlolongo Sana Wa Matumizi, Huku Tunatumia Vibudu Tu Siku ZinasongaRefurbished za midrange nyingi zinatoka Ulaya Mashariki, Simu kama A55 official haipo Nchi nyingi kubwa so refurbished yake nayo haitoki huko.
Refurbished ya flagship unakuta imeuzwa Usa, ikawa refurbished, Usa Waka chukua nzuri nzuri Mabaki yakaenda China nao Waka chagua nzuri, zikaenda Dubai nako zinakachaguliwa chaguliwa mwisho tunaletewa sisi Mabaki.
Ukinunua refurb Direct ebay kwa muuzaji mwenye rating kubwa nadra kupata issue kubwa.
Inatumia Line Ngapi Hiyo SimuKatika maisha yangu ya kumiliki simu now ndio namiliki flagship kutoka samsung inayokaa sana na chaji mpaka inanistaajabisha ni s20 5g clean sana haina dot huichemki hapa nimepata sijakosea simu lainiii kama yai
1 na esimInatumia Line Ngapi Hiyo Simu
Ina eSIM Mbili1 na esim
Line moja na ina support esim hivyo unaweza kuongeza laing ya pili kwa mfumo wa esimIna eSIM Mbili
1 na esim
Mbona display nyeupe au bado iko kwenye makaratsi
Ni MpyaMbona display nyeupe au bado iko kwenye makaratsi
S20 technically ni nzur kuliko 21Katika maisha yangu ya kumiliki simu now ndio namiliki flagship kutoka samsung inayokaa sana na chaji mpaka inanistaajabisha ni s20 5g clean sana haina dot huichemki hapa nimepata sijakosea simu lainiii kama yai
Uliinunua wapi au kwa njia gani mkuu?Katika maisha yangu ya kumiliki simu now ndio namiliki flagship kutoka samsung inayokaa sana na chaji mpaka inanistaajabisha ni s20 5g clean sana haina dot huichemki hapa nimepata sijakosea simu lainiii kama yai
Ni kariakoo lakini usiende nauhakika wa %100 kama utapata kitu sahihi jipe muda uichunguze hiyo simu kwanza sababu ni simu usedUliinunua wapi au kwa njia gani mkuu?
Siku za usoni nataka na Mimi nikanunue note 10+ humo humo kariakoo.Ni kariakoo lakini usiende nauhakika wa %100 kama utapata kitu sahihi jipe muda uichunguze hiyo simu kwanza sababu ni simu used View attachment 3094439
Unazungumzia milioni+Nunua A55 5g hutojutia kaka ni moja ya flagship ambayo bei yake ya kawaida ila perfomance yake kubwa sana kwenye video na hata ukitaka kuedit video
Unazungumzia milioni