Uchaguzi 2020 Utanzania wetu ubaki palepale

Uchaguzi 2020 Utanzania wetu ubaki palepale

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Nasema hivi, shukrani kwa ccm mlipotufikisha ,asanteni sana naamini bado mna nguvu ya kuendesha nchi hii hata kwa miaka 100 ijayo ILA NYIE CCM, ACT NA CHADEMA MNAKERA SANA

Wengine siyo washabiki wa siasa ila haya makarateee niliyoanza kuyaona yanakera MNABOA SANA. sikilizeni nyie jamaa Hii Tanzania wengine tunaipenda kuliko hata nyie, siyo chadema siyo ccm mko huko kwa ajili ya matumbo yenu tu wengine mlikuwa wembamba siku hizi mnapasuka tu kwa mabia na makitimoto na maburger ya kufa mtu mnayokula kwa kodi zetu

Hii ni kwenu wote, CCM, ACT na CHADEMA, mnaboa sana wengine hapa tunahangaika na mavitabu mengine sijui yanahusu Tanzania tunaitetea kwa hali na mali lakini naona kuna machizi wana AGENDA ZAO embu nijaribu kumsikiliza mzee Rungwe labda ana sera mbadala.

Haiwezekani nikazaliwa kwenye nchi ambayo mlima kilimnanjaro kuna pete ya mfalme suleimani,ambapo kuna wafia dini wanabishana kama safina ya nuhu iligota ethiopia,mlima ararat uturuki au mlima meru Arusha,nchi ambayo kuna wana dini wanaapa kwamba bustani ya eden ipo Ngorongoro na siyo Iraq katikati ya mito ya Tigris na Eupharates.

Mwezi huu nasikia kauli za kishenzi toka kwa CCM, ACT NA CHADEMA mnaboa sana. Kesho natupia PDF documents kuhusu the beauty na importance ya Tanzania, ukihitaji pdf materials nicheki inbox
 
Mlivyotuimbia tuisome namba na mkatusomesha kweli namba, watumishi wa serikali hakuna nyongeza ya mishahara, wastaafu hakuna madai, vijana hakuna ajira.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mlivyotuimbia tuisome namba na mkatusomesha kweli namba, watumishi wa serikali hakuna nyongeza ya mishahara, wastaafu hakuna madai, vijana hakuna ajira.
nahusikaje mama yangu OPRAH WINFREY? mimi mwenyewe naishi kwa kuuza ebooks hapa jamii forums na kuhangaika huku na kule ila siasa zetu za kiwaki sana siyo ccm, ACT, Chadema wananikera sana
 
Nasema hivi ,shukrani kwa ccm mlipotufikisha ,asanteni sana naamini bado mna nguvu ya kuendesha nchi hii hata kwa mika 100 ijayo ILA NYIE CCM,ACT NA CHADEMA MNAKERA SANA...
lazima tuzipige ili going forward tuheshimiane, hii ya watu kuibuka na kujifanya wao ni wazalendo sana wa nchi hii na wengine ni wasaliti, hii ya watu kujiona wao ndo kila kitu nchi hii lazima ifike mwisho. Nitamshukru Mungu sana Kama amemleta Lissu kutuongoza kutuondoa kwenye ujinga huu.mimi nipo na yeye
 
mkinaliza mambo yenu mtanikuta hapa nikiiisifia nchi yangu
Kama unakumbukumbu kwenye migomo ya kule vyuoni wale waliokuwa wanajifanya wao wanapenda kusoma sana na hawajihusishi na migomo mwisho wa siku ndo waliishia kuwa wahanga
 
Kama unakumbukumbu kwenye migomo ya kule vyuoni wale waliokuwa wanajifanya wao wanapenda kusoma sana na hawajihusishi na migomo mwisho wa siku ndo waliishia kuwa wahanga
sawa fanyeni yenu ila november tafadhali wengine tuendelee na maisha yetu
 
Nahisi itabidi niingie kwenye siasa siku moja kupambana na wapuuzi, siri na umuhimu wa Tanzania ilibidi iwe na mfalme siyo hii bullshit ya so called vyama vya siasa
 
mitaala ibadilishwe watoto wa primary waanze kufundishwa umuhimu wa nchii duniani,we are special,UNYONGE BASI NDUGU ZANGU
 
nilliacha mimi ?jinga kabisa weweee
Wengine tuko kwenye harakati kuondoa takataka kama hizo, wewe unadai unaipenda nchi, je umeridhika na mambo hayo. Kama hujaridhhika utadai vipi unaipenda nchi huku inaangamia? Ndio maana nimekuambia ni mshenzi...sasa wewe nawe niambie kwa nini mimi ni mjinga.
 
Nasema hivi ,shukrani kwa ccm mlipotufikisha ,asanteni sana naamini bado mna nguvu ya kuendesha nchi hii hata kwa miaka 100 ijayo ILA NYIE CCM,ACT NA CHADEMA MNAKERA SANA...
Umejaa mihemuko kwa yale yaliyokwisha kutendeka, yanayoendelea kutendeka ama kauli za ahadi kuhusu matarajio ya kesho ya mama Tanzania. Dogo hupaswi kukimbilia kutoa hitimisho la jumla bila ya kutambua maudhui ya mada husika kwa kina.
 
Wengine tuko kwenye harakati kuondoa takataka kama hizo, wewe unadai unaipenda nchi, je umeridhika na mambo hayo. Kama hujaridhhika utadai vipi unaipenda nchi huku inaangamia? Ndio maana nimekuambia ni mshenzi...sasa wewe nawe niambie kwa nini mimi ni mjinga.
mmeanza kuitana matakataka tena?HII NCHI NI SPECIAL ZAWADI YA MUNGU acheni ujinga wenu
 
Umejaa mihemuko kwa yale yaliyokwisha kutendeka, yanayoendelea kutendeka ama kauli za ahadi kuhusu matarajio ya kesho ya mama Tanzania. Dogo hupaswi kukimbilia kutoa hitimisho la jumla bila ya kutambua maudhui ya mada husika kwa kina.
hitimisho lako ni nini?
 
mitaala ibadilishwe watoto wa primary waanze kufundishwa umuhimu wa nchii duniani,we are special,UNYONGE BASI NDUGU ZANGU

Nakuomba usikilize kwa utulivu Mh. Tundu Lissu akielezea kwa nini kila tunachofanya hatufanikiwi...

 
Nasema hivi ,shukrani kwa ccm mlipotufikisha ,asanteni sana naamini bado mna nguvu ya kuendesha nchi hii hata kwa miaka 100 ijayo ILA NYIE CCM,ACT NA CHADEMA MNAKERA SANA...

Haki ya mungu sijaelewa chochote ulichokiandika na nimeshindwa kuelewa lengo la topic yako.
 
comments hapa zina maana kubwa sana,NCHI INAUMWA,WATU WANA HASIRA,FANYENI MA BEEF YENU MAUJINGA YENU WENGINE NOVEMBER ONWARDS TUNA MAISHA YA KUISHI
 
Back
Top Bottom