LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 199
Ukweli ni kwamba ATM karibu zote huku ni bure na hakuna charge hata kidogo na ATM zinazocharge wameandika kuwa kunacharge kabla hata hujaweka kadi yako. Suala la Consumer protection laws in developing countries like Tanzania bado ni hadithi. Lazima umueleze mteja ataingia gharama gani?. Nili-apply credit card nikapewa ilikuja na package ya charges zote nikafanya cost-benefit nikaona haifai kwa style yangu nikaipiga chini na sikuchargiwa hata sent moja. japo waliprint credit card na postal costs.