Utapeli Kariakoo: Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusoma na kuwa na akili nyingi. Kuna watu waliishia darasa la saba (7) tu kwa sababu ya umasikini

MTU anaibiwa kwa sababu kafika mjini kiss alifaulu chuo cha Udsm, IFM, DIT, Mzumbe, SUA, SAUTI, MAKUMIRA, n.k
Waliozaliwa mjini kuibiwa labda umkabe lakini sio maneno matupu, sijui kuibiwa kwenye Daladala, sijui Fiesta, sijui mtandaoni.
Mbona unang'ang'ania sana wizi na utapeli wakati mimi nimetumia tu kama mfano wa kuwaeleza watu wenye akili nyingi licha ya kwamba hawajasoma sana.
 
Mi kuna jamaa alitaka kuniuzia tecno W5 enzi hizo ndo zmetoka toka nafikiri dukan ilikua kwenye 180k+ jamaa akanifata akaniambia nimpe elf 40 aniachie dah nikamwambia nipe nikaikagua ni simu bad ipo kwenye Hali nzur Sana, nikambwambia chukua elf 35 akawa kama anakataa akaichukua akarudisha kwenye box wakati naondoka akaniita braza bas poa nipe hiyo huku ananipa simu kwenye box lake,

Nikamwabia leta nitest lain yangu kama itakaa hapo au ni ya kukata alivyonipa tu simu mkononi nikaiwasha alaf nikamlipa ile hela akaniambia leta nikuwekee kwenye box lake nikamwambia Sina shida na box, jamaa ilibid aniombe tu nimrudishie sim anipe hela yangu mi nikakataa nikamwambia tumeshakubaliana biashara imeisha, akataka kunivimbia akatoa wembe mfukoni mi nikachomoa kisu flan hiv nlikua natembea nacho, ye mwenyewe alisanda nikasepa kufika mbele nikadaka tororoo (bodaboda) nikaamsha zangu
 
Ila magenius wengi huwa hawana miandiko mizuri sijui kwa nini bwana
 
Mbona unang'ang'ania sana wizi na utapeli wakati mimi nimetumia tu kama mfano wa kuwaeleza watu wenye akili nyingi licha ya kwamba hawajasoma sana.

Mfano wako ndio kiini cha kutufanya tuelewe vizuri mada yako. Labda useme umekosea kutoa mfano.

Lakini huo wa wizi ni mfano mfu. Huwezi muibia mtu aliyesoma akaelimika.
 
Mfano wako ndio kiini cha kutufanya tuelewe vizuri mada yako. Labda useme umekosea kutoa mfano.

Lakini huo wa wizi ni mfano mfu. Huwezi muibia mtu aliyesoma akaelimika.
Sawa. Kwa heri. Safari njema.
 
Pole sana
 
Alikutana na mkali zaidi yake...mi kuna dogo enzi za o level aliniazima kitabu chake...sasa baada ya kukitumia kama wiki nikakuta kitabu hakipo...ikapita kama siku tatu jamaa akaja akawa anataka kitabu chake...nikamwambia kuwa kitabu sikioni usikute kuna msela kanipiga..jamaa akasema basi itabidi ukakinunue ...nikamwambia mwanangu sina hela...akasema nipe ten, Basi bwana nkamlipa elfu kumi...baada ya kupita kama mwezi kuna dogo akaja akanitonya kuwa kile kitabu ulichoibiwa anacho yule dogo(Yule yule aliyeniazima)...mi nikauchuna, nikaenda dorm alilokuwa analala jamaa nikaangalia position aliyoweka tranka lake nikasepa..nikarudi dorm kwangu...siku tunafunga midterm ndo nikaona umefika wakati wa kumuumiza..siku tunamalizia pepa ya mwisho (Civics)..tuko kwenye pepa nikaomba ruhusa naenda toi...chap nikaenda dorm kwake nikabetua lock ya tranka lake nikapakia mazaga yake yote (Kikiwemo na kitabu nilichokilipia)nikaweka kwenye rasket, chap mpaka dorm kwangu uzuri tulikuwa nearby (Ye dorm 7 mi dorm 8) nikarudi class kumalizia pepa..nilivomaliza pepa chap nikabeba tranka langu nikasepa..nasikia mwana alilia kinoma..
 
Ukishamsoma mtu anaetaka kukufanyia uhuni we uspanic tulia tu ajilengeshe alaf unamfanyia uhuni mara 100 zaid yake maana ye akikubahatisha lazma ulie
 
Ukishamsoma mtu anaetaka kukufanyia uhuni we uspanic tulia tu ajilengeshe alaf unamfanyia uhuni mara 100 zaid yake maana ye akikubahatisha lazma ulie
Gangsters revenge...hamna kushtakiana wala kupelekana polisi...
 
Kama miaka mitano tu Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati je tukimpa miaka kumi mingine itakuwaje?
 
Chadema Siasa za kihuni zimepitwa na muda ombeni msamaha kwa Rais Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…