Anaweza kupiga hesabu za efficient za hivyo vinu,mechanical advantage, input vs output vs energy consumption. What about power of a machine, what about life span of a machine.Kuunga mabati na kuunda machine ni vitu viwili tofauti.Darasa la saba huwa wanajitutumua sana ndio maana wanajaribu vitu wasivyokuwa na uwezo navyo na Mara zote huwa havifiki popote.Kuunda machine ni kama Uhunzi tu ila utendaji wa machine ni zaidi ya uhunzi.Sana kunawadau wanatengeneza vinu vya machine balaaa, mechanical engineering holder akasome!
Doooh aisee...Anaweza kupiga hesabu za efficient za hivyo vinu,mechanical advantage, input vs output vs energy consumption.
Hujakutana na wezi wewe. Umekutana na vibaka tu.Siwezi ibiwa na mtu aliyefeli shule hata siku moja.
Kwanza sipendi vitu vya bei nafuu.
Mbili nipo huru na pesa yangu, na sina tamaa.
Tatu, ninachokitaka ndio huwa, sina tabia ya kumsikiliza MTU. Mimi ni dikteta. Hunipeleki peleki.
Kabla sijanunua kitu nimeshafanya research.
Nikitembea huwezi nikaribia na kunigusa, utajuta.
Kuibiwa ni dalili ya ujinga. Kabla uniambie kufanyiwa ujambazi.
Lakini wizi kama wizi sidhani.
Usipende bwerere
Dah umetaja maeneo hayo dah niliwahi sajili sana laini za simu huko, Mngeta, Luli n.k Epanko kijiji fulani bondeni ukitoka ulanga mjini niliwahi fanya kazi ya uthaminishaji ardhi pia 2016 asante sana kwa kumbukumbu nzuriMa-genius wengi darasa la saba wamejaa huuukooo vijijini ndani ndani Mchombe, Mngeta, Kotako, Ulanga, Mahenge, Epanko, Luli, Malinyi.
Duuuh pole sana mkuu...Mimi almanusura nipendekeze uharibifu wa bomba la ofisi baada ya fundi mmoja kutajwa kwamba ndio fundi na kumpa kazi ya maji yanayovuja yeye akasema vifaa hivyo vinapatikana DSM.
Ulikuwa na kampuni gani? MTL au Kibaran? Unamjua Mihayo?niliwahi fanya kazi ya uthaminishaji ardhi pia 2016
Huyo hapo.Ulikuwa na kampuni gani? MTL au Kibaran? Unamjua Mihayo?
Mbona umejibu swali ambalo sijakuuliza wewe?Huyo hapo.View attachment 1582357
Jibu hilo.Mbona umejibu swali ambalo sijakuuliza wewe?
Mng'ato unanichokoza naonaJibu hilo.View attachment 1582406
Usikimbie mdahalo jomba.Mng'ato unanichokoza naona
Umeanza vituko badala ya kujadili hoja.Usikimbie mdahalo jomba.View attachment 1582409
Hoja ipi mzee?Umeanza vituko badala ya kujadili hoja.
hii n kweli mzee. nshawahi kuliwa elfu 60 yangu. ilikua n wale wanaweka matrubai afu wanaweka matv laptop pikipik nk. afu wana vikadi vina namba wanakupa uotee. wakat nafika pale nilijisemea kabisa hawa n matapeli SITATOA hata mia. lakn nlipotia jicho langu pale akili ilikuja kurudi wallet yangu ikiwa inasoma O.Mimi niliuziwa kipande cha sabuni pia.,
kisa kinaendana na chako.
Ila kisa fulani naweza nikasema ni experience tu ndio inawafanya waonekane kuwa ni wataalam wa kuwaibia watu, muda mwengine hutumia sayansi kidogo.
mfano ubongo wa mwanaume hauwezi kutafsiri mambo mawili kwa wakati mmoja, wanawake wanaweza ila si zaidi ya vitu vitatu.
wanachezaje na hii saikolojia?
Siku 1 nipo mitaa ya Tandika, nipo nimeweka wallet mfuko wa nyuma, si unajua tena Tandika foleni ya watu kupishana kwa tabu..baasi mbele yangu alikuwepo mzee fulani hivi napishana nae akajigongesha kwangu huku akiugulia maumivu kuwa nimemuumiza basi kanishika bega ananitingisha sina hili wala lile akili yangu namhurumia yule mzee na kumpa pole na kumwambia samahani ni bahati mbaya watu ni wengi...kumbe kile kitendo cha kunitingisha, akili yangu anaifanya iwaze jambo moja, huku mfuko wa nyuma naibiwa sina habari maskini. Nilivyomuacha kwenda mbele kidogo najipapasa hamna kitu, nilicheka sana maana nilipata funzo, japo hazikuwa pesa nyingi sana.
Mwizi anaweza akakupiga kofi la uso, na akakunyang'anya simu yako au mkoba (kwa wadada) maana akili yako itasikiliza kofi ukija stuka kashasepa...
Akili zetu haziwezi tafsiri mambo mawil kwa wakati mmoja, wezi wengi ndio hutumia hii mbinu.
wale wahun wakikuona unageuka geuka kulia na kushoto wanajua ww akili yako haijatulia kwa hyo n rahs kukufanyia undavaUshauri: Ukiwa mjini kuwa makini na lililokupeleka.. acha kushangaa ama kuhangaika na yasiyo kuhusu.
Hoja ya kwamba CCM ndio chama bora.Hoja ipi mzee?View attachment 1582416