Utapeli mpya wa kampuni ya FIC

Utapeli mpya wa kampuni ya FIC

IMG_2804.png
 
Vijana Kuweni kuna matapeli wamekuja na kampun Yao ya ku bet inaitwa FIC

Vijana weng wametapeliwa Kwa Sasa tena kuna Mtu katapeliwa million 500

Toka jana hao Vijana wanalia
fafanua vizuri ili wenye weledi watie neno
 
Mimi nikishaona wanaanza na mambo ya kutoa hela kwa mafungu, najua tayari wanahamisha hela wasepe. Na walivyo wajanja, wanawajaza wanachama wao eti wawe wapole na wavumilivu. Wanatoa hela kwa kuzingatia viwango vya vip. Ila watasepa na hela za watu wengi sana
 
Back
Top Bottom