Utapeli mtandaoni unawaumiza wengi

Utapeli mtandaoni unawaumiza wengi

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
Naomba nieleze kwa ufupi.

Kukua kwa teknolojia kunasaidia mambo mengi kukua ikiwemo biashara. Ila hivi karibu kumekuwa na utapeli dhahri mfano kwa hapa Tanzania. Kumekuwa na wafanya biashara kutoka upande wa Zanzibar hasa Pemba wakiuza vitu bei ya chini mbali na uhalisia mfano laptop.

Ambapo watu wengi waliokosa uelewa na kutokujua bei halisi wanakuwa wanatapeliwa bila kujua.

Pili, kuna wafanya biashara wanao posti bidhaa kutoka china moja kwa moja kwa bei ya chini sana yawezekana wengi ni wafanya biashara ila pia kumezuka na matapeli.

Ushauri.
Serikali ione kuna namna ya kusajili makampuni yote hata madogo madogo na kuweka mtandaoni ili mtu akitaka kulipia akahakiki katika mfumo wa serikali kujiridhisha ni kampuni au kikundi kweli cha wafanyabiashara.

Pili, elimu ya biashara mtandaoni itolewe na taasisi husika kwa tunakoelekea mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi ya hapa leo.

Asanteee
7ed8a67549da41a56022b969f5b501e9.jpg
 
Naomba nieleze kwa ufupi.

Kukua kwa teknolojia kunasaidia mambo mengi kukua ikiwemo biashara. Ila hivi karibu kumekuwa na utapeli dhahri mfano kwa hapa Tanzania. Kumekuwa na wafanya biashara kutoka upande wa Zanzibar hasa Pemba wakiuza vitu bei ya chini mbali na uhalisia mfano laptop.

Ambapo watu wengi waliokosa uelewa na kutokujua bei halisi wanakuwa wanatapeliwa bila kujua.

Pili, kuna wafanya biashara wanao posti bidhaa kutoka china moja kwa moja kwa bei ya chini sana yawezekana wengi ni wafanya biashara ila pia kumezuka na matapeli.

Ushauri.
Serikali ione kuna namna ya kusajili makampuni yote hata madogo madogo na kuweka mtandaoni ili mtu akitaka kulipia akahakiki katika mfumo wa serikali kujiridhisha ni kampuni au kikundi kweli cha wafanyabiashara.

Pili, elimu ya biashara mtandaoni itolewe na taasisi husika kwa tunakoelekea mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi ya hapa leo.

AsanteeeView attachment 3095949
Wanaotapeliwa Mtandaoni ni Wachache na ni Kwa Ujinga wao.

Hiyo bajeti ya Serikali Kwenda kutoa. Elimu watu wasitapeliwe Mtandaoni ni Ujinga, Bora ikanunue Madawa Hospitalini.

Wajinga hawaishi.
 
Naomba nieleze kwa ufupi.

Kukua kwa teknolojia kunasaidia mambo mengi kukua ikiwemo biashara. Ila hivi karibu kumekuwa na utapeli dhahri mfano kwa hapa Tanzania. Kumekuwa na wafanya biashara kutoka upande wa Zanzibar hasa Pemba wakiuza vitu bei ya chini mbali na uhalisia mfano laptop.

Ambapo watu wengi waliokosa uelewa na kutokujua bei halisi wanakuwa wanatapeliwa bila kujua.

Pili, kuna wafanya biashara wanao posti bidhaa kutoka china moja kwa moja kwa bei ya chini sana yawezekana wengi ni wafanya biashara ila pia kumezuka na matapeli.

Ushauri.
Serikali ione kuna namna ya kusajili makampuni yote hata madogo madogo na kuweka mtandaoni ili mtu akitaka kulipia akahakiki katika mfumo wa serikali kujiridhisha ni kampuni au kikundi kweli cha wafanyabiashara.

Pili, elimu ya biashara mtandaoni itolewe na taasisi husika kwa tunakoelekea mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi ya hapa leo.

AsanteeeView attachment 3095949
Sasa laptop bei nzuri iko PEMBA. kutoka unguja kwenda pemba ni mbali kulko kutoka unguja kuja dar. Kutoka pemba kuja dar ni mbali sana kuliko kutoka pemba kwenda Mombasa kenya.

AKILI KICHWANI KWAKO
 
Naomba nieleze kwa ufupi.

Kukua kwa teknolojia kunasaidia mambo mengi kukua ikiwemo biashara. Ila hivi karibu kumekuwa na utapeli dhahri mfano kwa hapa Tanzania. Kumekuwa na wafanya biashara kutoka upande wa Zanzibar hasa Pemba wakiuza vitu bei ya chini mbali na uhalisia mfano laptop.

Ambapo watu wengi waliokosa uelewa na kutokujua bei halisi wanakuwa wanatapeliwa bila kujua.

Pili, kuna wafanya biashara wanao posti bidhaa kutoka china moja kwa moja kwa bei ya chini sana yawezekana wengi ni wafanya biashara ila pia kumezuka na matapeli.

Ushauri.
Serikali ione kuna namna ya kusajili makampuni yote hata madogo madogo na kuweka mtandaoni ili mtu akitaka kulipia akahakiki katika mfumo wa serikali kujiridhisha ni kampuni au kikundi kweli cha wafanyabiashara.

Pili, elimu ya biashara mtandaoni itolewe na taasisi husika kwa tunakoelekea mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi ya hapa leo.

AsanteeeView attachment 3095949
Hizi biashara za kuagiziwq mzigo China kwa bei nzuri wamelia wengi sana. Hazina maana hizo. Wengi washalia na steji hiyo wameshajitoa
 
Hao hawapo unguja wala pemba hao wako bongo hihii wanafanya utapeli wao
 
Kuna jamaa yangu alikuta tangazo insta la hizi infinix zinauzwa laki 2 hivi huko Pemba. Tofauti ya hiyo bei ukilinganisha na hapa Mwanza ni kama 150k hivi. Basi kwa kuwa alikuwa na kama 25m alizokuwa amechukua NSSF akaona ndio mchongo wa kupiga sasa. Akaamua kwenda Pemba kuchukua mzigo maana aliogopa kutumiwa mzigo. Alipofika Pemba simu hazikupokelewa na duka lenyewe haliona.
 
Kuna jamaa yangu alikuta tangazo insta la hizi infinix zinauzwa laki 2 hivi huko Pemba. Tofauti ya hiyo bei ukilinganisha na hapa Mwanza ni kama 150k hivi. Basi kwa kuwa alikuwa na kama 25m alizokuwa amechukua NSSF akaona ndio mchongo wa kupiga sasa. Akaamua kwenda Pemba kuchukua mzigo maana aliogopa kutumiwa mzigo. Alipofika Pemba simu hazikupokelewa na duka lenyewe haliona.
Aisseee ila yupo smart
 
Back
Top Bottom