Utapeli uliofumbiwa macho na Serikali

Wamama sasa na hayo mafuta ya mwa mpo sijui nani,ni hatari..wako brainwashed vibaya sana.

Utapeli mtupu.
 
Ndugu hongera Sana kwa kuusema ukweli ambao viongozi karibu wote wa serikali na viongozi wengi wa kisiasa hawapendi kuusema kwa kuwa;

1. Serikali yenyewe kwa muda mrefu imekuwa ikiwatumia wakuu wa dini na madhehebu kuwa uwanja mkubwa wa kuwaingiza madarakani kwa utapeli.

Kwa lugha rahisi mwasisi wa utapeli huu pia aweza kuwa ni serikali yenyewe maana hawataweza kuwanyooshea kidole kwa kuwa wanajua kuwa kipindi cha kampeni za uchaguzi hata viongozi hao watakuwa sehemu ya utapeli kwa kutumia majukwaa ya matapeli hao.

2. Matapeli hao wa kidini wamekuwa wakifanikiwa Sana kutokana na elimu duni isiyeweza kumsaidia mwananchi pamoja na wingi wa matatizo ya kimaisha yanayotokana na kuendelea kukua kwa umasikini miongoni mwa Wananchi walio wengi jambo ambalo ni zao la sera dhaifu za serikali.

3. Kwa kuwa humu jf wapo wawakilishi wa serikali, na kama kweli Wanataka tupige hatua hawana budi kuchukua maoni yako haya mazuri vinginevyo madhara ya kupuuza yataligharimu taifa letu hasa katika POINT ya 5.

Na maoni yasichukiliwe kuwa ni kwenda kinyume na uhuru wa kuabudu bali iwe kama zilivyo kanuni nyingine za uratibu na udhibiti wa haki nyinginezo.

Ubarikiwe Sana mtoa madai.
 
Umeandika ukweli ulio mchungu,maana kuna mchungaji mmoja ni mkubwa tu hapa mjini dsm,anahubiri sana ila ajabu na kweli ni mlevi wa K vant balaa,alafu mkewe ni afande
 
Serikali haina dini ,haiwezi kuiingilia dini yoyote ile kw vyovyote vile
 
Umeandika gazeti halafu pumba tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…