Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #21
Nitakaribia, unipikie tena lile kange la kuku.Karibu ziadi ya jf unakaribishwa nyumbani pia tubadirishane mawazo uku ukipigwa na upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakaribia, unipikie tena lile kange la kuku.Karibu ziadi ya jf unakaribishwa nyumbani pia tubadirishane mawazo uku ukipigwa na upepo
Mbona unapongeza kinyonge hivyo?Kumbe uko kwa marriage, hongera
Mie tena 🤣 🤣 🤣Mshangazi umetisha😂😂
Mkuu bora nilime tumbaku ni tengeneze snuff na niuze Cannabis hizi tangible haya mambo ya kusadikika hapana.Wazee wa pi π wamechimba miaka mitano yote wameunguza bando zao, wamegawa taalifa zao kwa matapeli wakiota ndogo za Kuja kuwa mabilionea kwamba Pai Moja Inathamani ya usd laki 3. Aisee hii Dunia Haina huruma ukikaa kindezi hata hicho kidogo ulichonacho wanachukua
Unataka atoe kiremba cha mshangazi ave usingo maza?Karibu Kataa Ndoa
Poa Sinwar, niaje?mshangazi.com mambo 🤔
Yani, watu huwa hawataki kufikiri. Nimeona jana tayari kimewalamba!Kuna watu niwajinga Yaani unachukua Pesa Eti Unawekeza !!
Unawekeza Kwenye Vitu vyakufikirika kabisa!!
Kuna muda Serikali inamambo mengi yakufanya Iwaache Wajinga hao
Tokea Kina DESI nk
Nimpongeze kivip mkuu?Mbona unapongeza kinyonge hivyo?
Asante, ni open marriage usiogope 🤣 🤣 🤣Kumbe uko kwa marriage, hongera
Imeisha iyoooNitakaribia, unipikie tena lile kange la kuku.
Unamaanish nn 😂? Bado Jimbo lipo wazi?Asante, ni open marriage usiogope 🤣 🤣 🤣
Safi naomba tamu 🤗🤗Poa Sinwar, niaje?
👎 Haiombwagwi hivyo, Wagumu Tunadumu , Kadhi Mkuu 1 njooni mumfundishe mdogo wenu hukuSafi naomba tamu 🤗🤗
Ujambazi, uporaji na utapeli huendeshwa na CCM pasipo kificho maana hata vyombo vya usalama vimegeuzwa kuwa mali ya chama..Hivi kwa nini watu hawanashindwa kuelewa pyramid scam business.
Au ccm ni muhusika mkubwa ndani ya serikali.
Maana kuna vitu ambavyo hata ccm naweza kusema vinahusika ndani ya nchi sababu ni serikali.
Kuna watu niwajinga Yaani unachukua Pesa Eti Unawekeza !!
Unawekeza Kwenye Vitu vyakufikirika kabisa!!
Kuna muda Serikali inamambo mengi yakufanya Iwaache Wajinga hao
Tokea Kina DESI
Mpongeze kwa kumtumia hata bando la mwezi mkuu..Nimpongeze kivip mkuu?
KekunduKekundu kekundu
Vijana ndo zao siku hz ni mwendo wa kimasihara👎 Haiombwagwi hivyo, Wagumu Tunadumu , Kadhi Mkuu 1 njooni mumfundishe mdogo wenu huku