UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

kwa experience ya mwaka mmoja sokoni naconclude kwa kusema forex is a real busness, na ningeshaur kila kijana msomi awe na hii skill ukipoteza hela kuna principle unaziviolete, japo kuna hasara za bahat mbaya ambazo hazikwepeki..huyu dogo namuamni kuwa ni trader lkn kutengeneza milion 9 kwa wiki yaani dola elf 4 ni uongo asilimia 150 labda uwe na mtaji mkubwa sana, ukiwa na risk management nzur hiyo hela unaweza kuitengeneza ukiwa na mtaji kuanzia dola elf 50 ambayo inaruhusu kurisk ata dola 200 ili upate 400 au 600 na kuendelea, ndani ya wiki kama soko liko vizr unaweza tengeneza hiyo pesa huyu kijana huo mtaji hakuwa nao, pengine huyu kijana aliingiwa na tamaa baada ya kukusanya pesa za watu ambazo zilipelekea kutrade kwa position sizing kubwa kuliko mtaji kitu ambacho ni hatar sana.

JAMANI THIS JOB IS DIFFUCULT LET NOT ANYBODY TELL YOU OTHER WISE, inahitaji skill ya hali ya hali ya juu, displine na patient, yaani kifup uwe unajua kabsa unachokifanya na sio kubahatisha
Unavyosema hakuwa na mtaji as if unashikiliaga bank cards zake vile.

the rest of your reply I thumb up!
 
Mkuu huwa inachukua karibia 5-10 years kujua kuwa unafanya Nini ndani ya trading.sio ishu nyepesi. It's simple but not easy. Wala usidanganye watu mkuu.
Lete mtu Aliye consistent profitable years after years or months after months aliyeianza below five years.
Trading and investment is a career like any other careers i.e Md , Engineering, lawyers,mhasibu. Wafikirie hao wanasoma miaka mingapi afu wanakuja kupata take home less or equal to 1000$ ambayo wewe waweza ipata ndani ya dakika moja,but if only if you know what are you doing, you've experience, you've right mindset, you've enough capital minimum let say 50k $. Ni hayo tu
Wengi wanachokosea ni kuiona forex kama deci.

Kwamba leo anaanza na $100 kesho anaamka na $1000.

Akipata hasara anaanza kupondea.

Forex trading ni kazi kama kazi nyingine. Kama ulisoma miaka 5 kuwa daktari, jitahidi kuheshimu na kujifunza kwa atleast miaka 5 ujue vizuri forex trading.
 
Wengi wanachokosea ni kuiona forex kama deci.

Kwamba leo anaanza na $100 kesho anaamka na $1000.

Akipata hasara anaanza kupondea.

Forex trading ni kazi kama kazi nyingine. Kama ulisoma miaka 5 kuwa daktari, jitahidi kuheshimu na kujifunza kwa atleast miaka 5 ujue vizuri forex trading.
Kumbe bado upo mkuu Bavaria nilikuonaga kwa ule uzi wetu pendwa wa forex.
Uko poa Sana lakini mkuu. Nimetokea kuipenda trading kuliko hata sijui Nini.
To study forex is to study oneself.
Fear is to protect oneself and greed is to....

We've brain that we inherited from our ancestors developed billions of years that are not friendly when we come to trading.

I really love this shit.
 
Wengi wanachokosea ni kuiona forex kama deci.

Kwamba leo anaanza na $100 kesho anaamka na $1000.

Akipata hasara anaanza kupondea.

Forex trading ni kazi kama kazi nyingine. Kama ulisoma miaka 5 kuwa daktari, jitahidi kuheshimu na kujifunza kwa atleast miaka 5 ujue vizuri forex trading.
Mtu anawaza k
kwa experience ya mwaka mmoja sokoni naconclude kwa kusema forex is a real busness, na ningeshaur kila kijana msomi awe na hii skill ukipoteza hela kuna principle unaziviolete, japo kuna hasara za bahat mbaya ambazo hazikwepeki..huyu dogo namuamni kuwa ni trader lkn kutengeneza milion 9 kwa wiki yaani dola elf 4 ni uongo asilimia 150 labda uwe na mtaji mkubwa sana, ukiwa na risk management nzur hiyo hela unaweza kuitengeneza ukiwa na mtaji kuanzia dola elf 50 ambayo inaruhusu kurisk ata dola 200 ili upate 400 au 600 na kuendelea, ndani ya wiki kama soko liko vizr unaweza tengeneza hiyo pesa huyu kijana huo mtaji hakuwa nao, pengine huyu kijana aliingiwa na tamaa baada ya kukusanya pesa za watu ambazo zilipelekea kutrade kwa position sizing kubwa kuliko mtaji kitu ambacho ni hatar sana.

JAMANI THIS JOB IS DIFFUCULT LET NOT ANYBODY TELL YOU OTHER WISE, inahitaji skill ya hali ya hali ya juu, displine na patient, yaani kifup uwe unajua kabsa unachokifanya na sio kubahatisha
May be he treated trading like gambling. Remember you get everything that you want out of from it.
If you treat it like a business ni sawa.pia kumbuka ukifungua biashara hata ya 10M profit unapata kiasi gani.
Pia daktari ama engineer,lawyer,mhasibu analipwa shilingi ngapi. Ukiweka hizo 10M benki unalipwa riba kiasi gani.

Ukishayajua hayo trading unanifanya.
Ishu kubwa ni greed and fear they're really coded into our DNA.
Fear is a response to threat. Greed is a response to opportunity. Fear seeks to preserve the self. Greed seeks to expand the self (via owned acquisitions).
This is our biggest enemies to our progress in various fields of life
 
Hakuna biashara ambayo haina hasara hapa tuelewane ni vile knowledge inakuwezesha kuminimize risk na kumaximize profit.

Binafsi nafanya hii kitu bila msaada wa mtu

Nashukuru kwa fx markert kwani nina take care my bills.
 
Nikiwaambia vijana tuache kupenda vitu rahisi wanakuwa wakali "MTU MWENYE UCHU WA MAFANIKIO YA HARAKA NDIO MTU RAHISI KUTAPELEWA".
Kuna dada anajifanya mjanja akataka aniingize mkenge akajua wakuja nilichomfanya yeye ndio akanitumia izo bitcoin badala ya mimi kumtumia. View attachment 1798655

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Crypto wallet gani watumia?
 
Wengi wanachokosea ni kuiona forex kama deci.

Kwamba leo anaanza na $100 kesho anaamka na $1000.

Akipata hasara anaanza kupondea.

Forex trading ni kazi kama kazi nyingine. Kama ulisoma miaka 5 kuwa daktari, jitahidi kuheshimu na kujifunza kwa atleast miaka 5 ujue vizuri forex trading.
Yaani hii Kama una mtaji wa milioni 5-10 niulize ukiiweka kwenye biashara kawaida Kama duka etc utapata faida kiasi gani ama Kama hujui ulizia wenye maduka ama biashara unavyowaza kufanya.
So chukua iyo hela fungua akaunti afu Anza kutageti iyo faida,
Iyo hela waweza pata Kama milioni moja kwa mwezi katika trading pasipo ku risk Sana your capital
 
Ile ni biashara kichaaa kupoteza kwingi kuliko kupata
hapana sikubaliani nawewe
moja
huna maarifa sahihi sokoni
hauna nidhamu
hauna confidence
lot size unayo tumia ni kubwa kulingana na mtaji
haupo protective inatakiwa utolewe sokoni kwa break even au loss 1pecent ya mtaji wako

loss ipo kama utapigana na soko ,haufuati rules, una counter trend pasipo kujuwa trick zake,

unaogopa kupoteza na pia unaogopa kupata ani loss hufungi mapema profit inafyinga mapema
 
Yaani hii Kama una mtaji wa milioni 5-10 niulize ukiiweka kwenye biashara kawaida Kama duka etc utapata faida kiasi gani ama Kama hujui ulizia wenye maduka ama biashara unavyowaza kufanya.
So chukua iyo hela fungua akaunti afu Anza kutageti iyo faida,
Iyo hela waweza pata Kama milioni moja kwa mwezi katika trading pasipo ku risk Sana your capital
Yes, kwenye mtaji wa dola 2000 mpaka 4000 kupata dola 500 kwa mwezi ni kama kunywa maji tu

500÷26= $19 kwa siku,
 
Back
Top Bottom