Utapeli wa huyu dada wamtokea puani

Hao aende kuwashitaki, wamejitakia kifungo cha miaka 30 kila mmoja, kwa uchavhe. Wamejikomoa wenyewe.
Kubaka kwa Kundi(mtungo)ni kifungo cha maisha, hata huyo aliyewakutanisha, nayeye atafungwa maisha, "Who ever convicted in a gang rape, should be imprisoned for life, regardless the actual role he played in that gang rape" (Penal Code Cap . 16, Sect 131A, R.E 2002
 
Aisee siyo fair lkn kwani si angemwambia tu amlipe hiyo pesa yake, huenda huyo dada angerudisha jamani, ila wanahisi wamemkoa huenda alienjoy sana tu, anapita mtoto sembuse mikuyenge mitatu tu aahπŸƒβ€β™€οΈ
Huyo mtoto si anapita kwa miuchungu, kwani anapita kwa Raha kama mkuyenge?
 
Ugonjwa gani huo?
Huyo mdada alikuwa hawezi kutoa sauti na hata akinywa maziwa akitapika maziwa yanatoka yakiwa yameganda hata sijui alifanyiwa kitu gani
 
Ukitaka kula lazima na wwe uliwe ye anataka kula tu kuliwa hatakiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maneno ya mh JK ayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…