Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
watajwa hapo juu Ni benki binafsi ambayo inakopesha watumishi wa Uma...
katika mikataba yao Kuna kipengele Cha kufuta mkopo endapo mteja ataamua kulipa Deni kwa mkupuo....
mwaka juzi nilikopa mkopo kwao Hawa jamaa ..
Sasa Deni limebaki Kama 2 m hivi pamoja na riba yao...
kwa bahati nikapata hela mwezi uliopita nikataka niwalipe ili waniachie salary yangu.... nikajaza fomu za kutuma viambata vyote nikaambiwa kusubiri siku 14,
baada ya wiki tatu Bado naambiwa eti niende makao makuu kufuatilia na Tena siwez kupata balance Hadi nisubiri ....
lengo lao nisifanikishe kuwalipa ili niendelee kukatwa tu wafaidike Kama jina lao...
tafadhali mnapokopa watumishi wa Uma kuweni makini...
muwe na jumatatu njema.
katika mikataba yao Kuna kipengele Cha kufuta mkopo endapo mteja ataamua kulipa Deni kwa mkupuo....
mwaka juzi nilikopa mkopo kwao Hawa jamaa ..
Sasa Deni limebaki Kama 2 m hivi pamoja na riba yao...
kwa bahati nikapata hela mwezi uliopita nikataka niwalipe ili waniachie salary yangu.... nikajaza fomu za kutuma viambata vyote nikaambiwa kusubiri siku 14,
baada ya wiki tatu Bado naambiwa eti niende makao makuu kufuatilia na Tena siwez kupata balance Hadi nisubiri ....
lengo lao nisifanikishe kuwalipa ili niendelee kukatwa tu wafaidike Kama jina lao...
tafadhali mnapokopa watumishi wa Uma kuweni makini...
muwe na jumatatu njema.