Utapeli wa mtandao unaendelea kwa kasi, TCRA mpo wapi?

Utapeli wa mtandao unaendelea kwa kasi, TCRA mpo wapi?

Craig

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
1,512
Reaction score
2,712
Wezi wa kupitia mitandao wanaendelea kuibia watu kwa kutumia kila namna mitandao ya simu haitoi ushirikiano wa kutosha kwa wateja wao. TCRA nini maana ya kusajili laini kwa vidole na kitambulisho?

Hawa wahalifu kwanini wasipewe adhabu iwe fundisho kwa wengine?

 
Back
Top Bottom