Utapoteza marafiki wengi wa faida kwasababu ya kutaka kuwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi

Utapoteza marafiki wengi wa faida kwasababu ya kutaka kuwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi

NAUNGA MKONO HOJA.

Wanawake wanapenda kuwa na urafiki na Wanaume kuliko Wanaume. Kwasababu wanawake hawana vingi vya kumpa mwanaume ila Mwanaume anakuwa na vingi vya kutoa - so mara nyingi huwa sio Urafiki wenye manufaa kabisa kwa Mwanaume.

Kila kitu ambacho mwanaume atahitaji kukipata kutoka kwa Rafiki, basi anaweza kukipata kwa rafiki yake wa kiume katika uwingi wa kutosha na kwa haraka zaidi. Vilevile Rafiki wa kiume hatakuwa mzigo kwake na pia thamani atayoipata kwa rafiki wa kiume huwa ni kubwa.

Mara nyingi urafiki na mwanamke huwa ni wa upande mmoja, kwasababu wao ni wana hisia sana na Ujinga mwingi, so utajikuta mara nyingi urafiki wenu ni kama Mwalimu na Mwanafunzi (kumsaidia sana) kuliko kuwa mutual.

Unless unampenda mwanamke kama DADA, MAMA, MKE, MPENZI - ila kuwa na Urafiki na mwanamke katika mazingira halisia ya kimaisha ni kujipa mzigo usiokuwa na faida kama ni Mwanaume uliyekamilika.

Wanawake ni wazuri pale unazungumza na kuchat nao vitu fulani vya kihisia(Flirt), hiyo ni kitu pekee ambayo huwezi pata kwa rafiki wa kiume. Vilevile kama ni Mwanaume wa kulialia, kusikitika sana na unahitaji mtu wa kukusikiliza basi rafiki wa kike atakufaa kwenye hilo.

Mazingira kama kazini, kwenye Biashara na connection za kazi hazihitaji uwe na urafiki na mwanamke ili akupe connection, hizo zinahitaji kufahamiana tu na sio URAFIKI.

Be a Man, Rafiki wa kike hana kikubwa atakachokupa ambacho utakikosa kwa rafiki wa kiu
Safi kabisa,naunga mkono
 
Marafiki wengi wa kike Mkia wa fisi,wanakufilisi Chap waungwana ni wachache sana ukipata muungwana ishi naye kwa mtindo huo
 
Mtoa mada umeongea kinyume.Ukilala na mwanamke panakua na hatari ya ukaribu kuongezeka - sio kupungua..labda mgombane..ndo maana maofisini hawataki either mtapeana favours au mkigombana mtaleta shija.
Sijawahi gombana hata mara moja na watu niliokutana nao kwenye ujana wenyewe huko...wengine tunapigiana simu, tunacheka, tunaongea kuhusu maisha - hakuna magomvi watu wana maisha yao kila mtu kwa kiasi chake
 
Back
Top Bottom