Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Habari wakuu. Ninahitaji kuagiza gari nimejaribu kufuatilia mtandaoni nimeona kuna kampuni tofauti kama beforward, sbi nk.
Napata changamoto maana nikiangalia bei zao ziko poa ila ukiangalia kampuni za tz instagram inakuwa mara mbili yake!
Naomba ushauri kuhusu hizi kampuni,
1. kuhusu gharama zake kama ni za kweli
2. je hio gharama ukikabidhiwa gari linakua na usajili tayari au vipi?
3. Inachukua muda gani gari kufika tz
Shukran.
Napata changamoto maana nikiangalia bei zao ziko poa ila ukiangalia kampuni za tz instagram inakuwa mara mbili yake!
Naomba ushauri kuhusu hizi kampuni,
1. kuhusu gharama zake kama ni za kweli
2. je hio gharama ukikabidhiwa gari linakua na usajili tayari au vipi?
3. Inachukua muda gani gari kufika tz
Shukran.