Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Imekua kama desturi watu kukengeuka kutoka kwenye ndoa za kimila na kwenda za kidini yaani mtu anafunga ndoa kwa taratibu za kimila aghalabu kulipishwa mahari na itifaki nyinginezo na kisha anakwenda tena kufunga kanisani au msikitini
Kwa Kuwa zinapofungwa huko kwenye itikadi za dini kuna utaratibu wa kupata cheti cha ndoa, naomba kuuliza hizi zinazokamilika kwenye taratibu za kimila, utaratibu wake wa kupata cheti ukoje, nikianzia kuanzia kwenye tukio lenyewe ili liwe halali kisheria na kuweza kuwasaidia wanandoa kupata cheti, yaani nani anatakiwa kusimamia na ikiwa kuna waraka wowote unaotakiwa kutoka baada ya kuhitimisha kulipa mahari nk
Tushirikishane uzoefu na sheria zilizopo
asanteni
Kwa Kuwa zinapofungwa huko kwenye itikadi za dini kuna utaratibu wa kupata cheti cha ndoa, naomba kuuliza hizi zinazokamilika kwenye taratibu za kimila, utaratibu wake wa kupata cheti ukoje, nikianzia kuanzia kwenye tukio lenyewe ili liwe halali kisheria na kuweza kuwasaidia wanandoa kupata cheti, yaani nani anatakiwa kusimamia na ikiwa kuna waraka wowote unaotakiwa kutoka baada ya kuhitimisha kulipa mahari nk
Tushirikishane uzoefu na sheria zilizopo
asanteni