Utaratibu gani unafatwa ili kuhairisha mwaka wa masomo chuoni?

Utaratibu gani unafatwa ili kuhairisha mwaka wa masomo chuoni?

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,986
Reaction score
5,058
Msaada ndugu zangu. Ndugu yangu kapatwa na matatizo ya kikazi, wanataka kumfungia mshahara hivyo kaamua kuahirisha chuo ili atimize masharti ya ajira yake.

Jamaa wamekomaa kwamba arudi kazini. Je, ni taratibu zipi za kupitia?
Asanteni kwa msaada nitakaoupata
 
Ni rahisi sana.

Unamuona mkuu wa idara ya kitivo/idara chako unamueleza,atakupa utaratibu.

Utaandika barua kuomba kwa mkuu wa chuo kupitia kwa mkuu wa idara kuahirisha mwaka wa masomo na sababu zako.
 
Ni rahisi sana.

Unamuona mkuu wa idara ya kitivo/idara chako unamueleza,atakupa utaratibu.

Utaandika barua kuomba kwa mkuu wa chuo kupitia kwa mkuu wa idara kuahirisha mwaka wa masomo na sababu zako.

thanks mkuu. na bodi ya mikopo nani ataitaarifu? Au nao unawaandikia barua?
 
Back
Top Bottom