Utaratibu mpya wa kuomba leseni ya udereva TRA toeni elimu kuepusha sintofahamu

Utaratibu mpya wa kuomba leseni ya udereva TRA toeni elimu kuepusha sintofahamu

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Salamu kwanza, kuna utaratibu mpya wa kuomba leseni za udereva ambao nitaelezea kama nilivyoelekezwa, unaingia katika tovuti ta TRA kisha unajisajili kwa kutumia nambari ya utambulisho wa mlipa kodi TIN unategeneza account kwenye portal yao (samahani kwa kuchanganya lugha maana hata bungeni walikosa tafsiri ya neno tax clearance) baada ya kutengeneza account uta-attach risiti yako ya EFD uliyolipia ada katika chuo ulichojifunzia na pia leseni yako ya kujifunzia almaarufu kama lena baada ya mwezi ambapo ndiyo wanaamini utakuwa umehitimu mafunzo utarudi tena kwenye account yako kisha utaambatanisha cheti cha kuhitimu na baada ya hapo utapangiwa tarehe ya test

Huu utaratibu ni mzuri kwa kuwa utasaidia kukusanya kodi ila changamoto zake ni kuwa mfumo mara nyingi unasumbua na pia idara ya elimu kwa mlipa kodi haijatoa elimu ya kutosha. Pia sina hakika iwapo "maboresho" haya yamelenga kukusanya kodi, kupunguza ajali au vyote kwa pamoja
 
Salamu kwanza, kuna utaratibu mpya wa kuomba leseni za udereva ambao nitaelezea kama nilivyoelekezwa, unaingia katika tovuti ta TRA kisha unajisajili kwa kutumia nambari ya utambulisho wa mlipa kodi TIN unategeneza account kwenye portal yao (samahani kwa kuchanganya lugha maana hata bungeni walikosa tafsiri ya neno tax clearance) baada ya kutengeneza account uta-attach risiti yako ya EFD uliyolipia ada katika chuo ulichojifunzia na pia leseni yako ya kujifunzia almaarufu kama lena baada ya mwezi ambapo ndiyo wanaamini utakuwa umehitimu mafunzo utarudi tena kwenye account yako kisha utaambatanisha cheti cha kuhitimu na baada ya hapo utapangiwa tarehe ya test

Huu utaratibu ni mzuri kwa kuwa utasaidia kukusanya kodi ila changamoto zake ni kuwa mfumo mara nyingi unasumbua na pia idara ya elimu kwa mlipa kodi haijatoa elimu ya kutosha. Pia sina hakika iwapo "maboresho" haya yamelenga kukusanya kodi, kupunguza ajali au vyote kwa pamoja
HATA SISI TUNAORENEW UTARATIBU NI HUO HUO?
 
Nida tuu imewashinda watu kufuatilia na kuipata akienda mara mbili akaambiwa leta kitu fulan Cha kuattach harudi Tena anajidai mambo yake yatasimama sijui yatalala kama vile hiyo nida Haina mambo sembuse hiyo.. 🙃🙃😭😅
 
Sasa watu waliosoma mwaka Jana uchumi ukawa mbovu kulipia leseni, mwaka huu wanataka leseni hiyo risiti ya chuo ya EFD watakuwa nayo?
 
Hao ni wapuuzi mi nimejaza hizo details wiki saiz inaniambia application still in progress
image.jpg
 
Refusha mkono bongo kila kitu kinawezekana hata signature OG ya rais unaipata ukiwa na mkono wa kutoa.
 
Salamu kwanza, kuna utaratibu mpya wa kuomba leseni za udereva ambao nitaelezea kama nilivyoelekezwa, unaingia katika tovuti ta TRA kisha unajisajili kwa kutumia nambari ya utambulisho wa mlipa kodi TIN unategeneza account kwenye portal yao (samahani kwa kuchanganya lugha maana hata bungeni walikosa tafsiri ya neno tax clearance) baada ya kutengeneza account uta-attach risiti yako ya EFD uliyolipia ada katika chuo ulichojifunzia na pia leseni yako ya kujifunzia almaarufu kama lena baada ya mwezi ambapo ndiyo wanaamini utakuwa umehitimu mafunzo utarudi tena kwenye account yako kisha utaambatanisha cheti cha kuhitimu na baada ya hapo utapangiwa tarehe ya test

Huu utaratibu ni mzuri kwa kuwa utasaidia kukusanya kodi ila changamoto zake ni kuwa mfumo mara nyingi unasumbua na pia idara ya elimu kwa mlipa kodi haijatoa elimu ya kutosha. Pia sina hakika iwapo "maboresho" haya yamelenga kukusanya kodi, kupunguza ajali au vyote kwa pamoja
Nemependa maelezo yako ya mwisho.
Mi napenda lengo liwe ni kupunguza ajali ijapo hata yakiwa ni yote kwa pa1 pia siyo dhambi.
 
Duh mimi leseni yangu inaisha muda wake 2027, ngoja nijipange mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom