Mr Spider
JF-Expert Member
- Feb 28, 2020
- 1,773
- 3,201
Are you serious? Mbona ni kituko hiki!! Yani mtu aliye na uzoefu wa 15 barabarani anataka ku-renew lesen anatakiwa kufuata huu utaratibu wa kama wanaoanza!Ndiyooo tena kama ulipata leseni bila cheti ndiyo kabisa inabidi uanze upya