mkuu nilijieleza sana ungenipatia maelezo tu
(kilikuwa kiwanja sasa nimeshajenga hapo nyumba natakiwa nipate nini kama mmiliki halali wa hiyo nyumba)
Mkuu nadhani unaulizia title deed! Hauwezi kupata title bila kua na offer,kwanza nenda halmashauri usika waambie kwamba unataka kupimisha kiwanja,watakuja na gps watachukua cordinates then watakuja kukupimia then utataomba upewe offer ya title deed kwa kuapply wakishakupa offer then utaenda kulipia utapata title deed(ambayo ndio hati ya kiwanja),nyumba haina hati si unaweza ukavunja na ukajenga ghorofa hata kumi kwenye block hiyo hiyo!
Mkuu nadhani unaulizia title deed! Hauwezi kupata title bila kua na offer,kwanza nenda halmashauri usika waambie kwamba unataka kupimisha kiwanja,watakuja na gps watachukua cordinates then watakuja kukupimia then utataomba upewe offer ya title deed kwa kuapply wakishakupa offer then utaenda kulipia utapata title deed(ambayo ndio hati ya kiwanja),nyumba haina hati si unaweza ukavunja na ukajenga ghorofa hata kumi kwenye block hiyo hiyo!
King Kong III Majibu yako ni sahihi kabisa, lakini vipi kuhusu rushwa hadi ufanikiwe maanake nasikia ni kimbembe kweli kwenye kufanikisha mchakato huo!
Kama ni eneo ambalo halijapimwa utahitaji kwanza lipimwe na registered surveyors. watafute KILI SURVEYORS ambao ofisi zao kuu ziko Moshi lakini pia wana branch yao Arusha. Namba yao ni 0754-276324 mie walinisaidia kupima mpaka kupata HATI kamili lakini gharama zao kwa kiwanja kimoja ina cost mpaka mil moja hadi kupata HATI