Utaratibu na gharama za kupata hatimiliki ya nyumba/kiwanja

Utaratibu na gharama za kupata hatimiliki ya nyumba/kiwanja

Namshukuru Jamaa kwa kuwa amejitolea kwa kuandika uzi mzuri tena kwa moyo wake wote. lakini ktk wasomaji 47000 jamaa amepata like 3. pamoja na ya kwangu kweli nimejifunza kitu watantania wengi swala kushukuru limewapita kushoto.
 
Wakuu natanguliza shukrani zangu kwenu,
Nilinunua kijishamba huku Kisewe 2004 kwa mtu nae alinunu kwa mwenyeji, sasa hati ya mauziano ina jina lake huyo nilie nunua kwake na sasa hayupo hapa dar, nahitaji kupimiwa eneo langu na hatiamye nipate hati tittle deed,nifanyejee ngd zangu.
cc@ Kiyanga and others
 
Samahani kaka kumradhi,kama hutojali naomba namba yako nikupigie kuna mambo natamani kueleweshwa au nifanyaje ili niskilizwe Kwa ukaribu
Mkuu sio hawana kipaji, huu uzi una miaka kadhaa na wengine wameshazeeka (jokes), kwa uzito wa issue ya ardhi nina uhakika ukisoma comments kwenye hizo page utapata jibu though kwa haraka haraka suala lako linaangukia sehemu mbili kwanza mambo ya mirathi kisha ukishakamilisha huko ndio unakuja kuangalia kuhusu umilki wa hicho kiwanja kwa jina lako then hatua za kukatia hati milki kwa kufuata taratibu sawa na watu wengine wanaomilki visivyo vya urithi
 
Mkuu sio hawana kipaji, huu uzi una miaka kadhaa na wengine wameshazeeka (jokes), kwa uzito wa issue ya ardhi nina uhakika ukisoma comments kwenye hizo page utapata jibu though kwa haraka haraka suala lako linaangukia sehemu mbili kwanza mambo ya mirathi kisha ukishakamilisha huko ndio unakuja kuangalia kuhusu umilki wa hicho kiwanja kwa jina lako then hatua za kukatia hati milki kwa kufuata taratibu sawa na watu wengine wanaomilki visivyo vya urithi

Mkuu sio hawana kipaji, huu uzi una miaka kadhaa na wengine wameshazeeka (jokes), kwa uzito wa issue ya ardhi nina uhakika ukisoma comments kwenye hizo page utapata jibu though kwa haraka haraka suala lako linaangukia sehemu mbili kwanza mambo ya mirathi kisha ukishakamilisha huko ndio unakuja kuangalia kuhusu umilki wa hicho kiwanja kwa jina lako then hatua za kukatia hati milki kwa kufuata taratibu sawa na watu wengine wanaomilki visivyo vya urithi
Ñaomba niulizie hapa na kila mwenye uelewa wa hili naomba anieleweshe.
Iwapo imebaki nyumba ya urithi na hati haijulikani ilipo Kwa maana wazazi waliaga dunia pasi na kutoa taarifa za hati miliki.
Je,mrithi anatakiwa kufata taratibu gani ili aweze kupata hati miliki upya,inachukua muda gani na inagharimu kiasi gani.
Naomba kuwasilisha
 
Ñaomba niulizie hapa na kila mwenye uelewa wa hili naomba anieleweshe.
Iwapo imebaki nyumba ya urithi na hati haijulikani ilipo Kwa maana wazazi waliaga dunia pasi na kutoa taarifa za hati miliki.
Je,mrithi anatakiwa kufata taratibu gani ili aweze kupata hati miliki upya,inachukua muda gani na inagharimu kiasi gani.
Naomba kuwasilisha
Kama kiwanja kimepimwa maana yake Plot number na Block number mtakuwa mnaijua, kama taratibu za mirathi mmefanya maana yake mhusika anatakiwa afanye ufuatiliaji ofisi ya ardhi ili muweze kupata hati nyingine japokuwa kiutaratibu mnatakiwa mtangaze kupotea kwa hati kwa siku 30 kwenye gazeti then mnaenda kuomba hati nyingine (ila kabla ya kutangaza hatua zingine za loss report kwa police zifuatwe.

Nashauri uende ofisi ya ardhi kwenye halmashauri uliyopo Kwa ushauri zaidi

Kingine kama hati haionekani mjitahidi kulipa Kodi ya ardhi ili mtu asije akawa ameibadili nyie hamna habari lakini ukilipa Kodi ya ardhi (kama kimepimwa) jina linakuwa linasoma jina la marehemu na huo ni mwanzo mzuri wa kuonyesha umilki wenu na hata mtu akifanya lolote kuhusu hiyo nyumba mnakuwa na receipts zenu zote za Kodi ya kiwanja
 
Ni
hicho bado ni kiwanja ambacho kina nyumba (property), hata kama una nyumba umiliki unaotambulika kisheria ni hati ya kiwanja

hivyo ninakushauri uanze na kutafuta nyaraka ya mauzianno na aliyekuuzia, halafu upate hati ya utambulisho wa ununuzi ya serikali ya mtaa/kijiji/kitongoji, then utaomba muhtasari kwa ajili ya maombi ya kupima ili uweze kufanya maombi ya kumilikishwa, then utatafuta surveyor atafanya upimaji na kuwakilisha maombi yako ardhi, angalizo ni kwamba sehemu hii iwe haipo katika maeneo yaliyopangwa kufanyiwa mipango miji,

ukifanikiwa utapewa letter of offer then you will proceed into tittle deed
Pe namba yako mkuu
 
Kama kiwanja kimepimwa maana yake Plot number na Block number mtakuwa mnaijua, kama taratibu za mirathi mmefanya maana yake mhusika anatakiwa afanye ufuatiliaji ofisi ya ardhi ili muweze kupata hati nyingine japokuwa kiutaratibu mnatakiwa mtangaze kupotea kwa hati kwa siku 30 kwenye gazeti then mnaenda kuomba hati nyingine (ila kabla ya kutangaza hatua zingine za loss report kwa police zifuatwe.

Nashauri uende ofisi ya ardhi kwenye halmashauri uliyopo Kwa ushauri zaidi

Kingine kama hati haionekani mjitahidi kulipa Kodi ya ardhi ili mtu asije akawa ameibadili nyie hamna habari lakini ukilipa Kodi ya ardhi (kama kimepimwa) jina linakuwa linasoma jina la marehemu na huo ni mwanzo mzuri wa kuonyesha umilki wenu na hata mtu akifanya lolote kuhusu hiyo nyumba mnakuwa na receipts zenu zote za Kodi ya kiwanja
I
Kama kiwanja kimepimwa maana yake Plot number na Block number mtakuwa mnaijua, kama taratibu za mirathi mmefanya maana yake mhusika anatakiwa afanye ufuatiliaji ofisi ya ardhi ili muweze kupata hati nyingine japokuwa kiutaratibu mnatakiwa mtangaze kupotea kwa hati kwa siku 30 kwenye gazeti then mnaenda kuomba hati nyingine (ila kabla ya kutangaza hatua zingine za loss report kwa police zifuatwe.

Nashauri uende ofisi ya ardhi kwenye halmashauri uliyopo Kwa ushauri zaidi

Kingine kama hati haionekani mjitahidi kulipa Kodi ya ardhi ili mtu asije akawa ameibadili nyie hamna habari lakini ukilipa Kodi ya ardhi (kama kimepimwa) jina linakuwa linasoma jina la marehemu na huo ni mwanzo mzuri wa kuonyesha umilki wenu na hata mtu akifanya lolote kuhusu hiyo nyumba mnakuwa na receipts zenu zote za Kodi ya kiwanja
Tafadhali Naomba namba yako kiongozi
Nina mengi yakukuelezea
 
Mkuu ni pm namba yako
Kama umepata letter of offer maana yake kwamba hapo ofisi ya ardhi ya manispaa wanaandaa file mbili ambazo zote zinafanana yaani moja copy yako na nyingine nadhani itabaki kwa upande wa serikali imeandikwa CERTIFICATE OF OCCUPACY (Under section 29), THE LAND ACT, 1999 (NO. 4 OF 1999) ambazo watakupa uzipeleke kwa mwanasheria kuthibitisha kwamba wewe umekubali terms and condition kisha unarudisha manispaa ambao watazipeleka (au unapeleka mwenyewe) ofisi ya Kamashina wa ardhi ambapo utalipa stamp duty sh. 500 (mia tano ambayo hata hivyo itakuwa tayari imelipwa wakati kiwanja kinanunuliwa kama inavyoonekana hapo chini) kisha unaandikishwa kwenye daftari na kupewa siku maalumu ya kurudi kuona kama hiyo CERTIFICATE OF OCCUPANCY (ndio hati yenyewe) kama imesainiwa na kamishina wa ardhi pia inabandikwa na ramani ndogo ya viwanja vilivyopo eneo lako of which cha kwako kinawekewa alama nyekundu plus namba ya hati, ukubwa na vitu kama hivyo. Kama ikishasainiwa tu unapewa hati yako kabisa na unasepa zako

hiyo laki 350,000 hapo ni utata kwani gharama ya kiwanja hicho ime-include mambo mengi, embu check letter of offer yako uone jinsi mchanganuo wa gharama ya kiwanja kama ilivyo kwa mnunuzi wa kwanza, ukicheck utaona kuna

  • Premium (hiyo ndio gharama ya kiwanja wanakuwa wameweka amount
  • Fees for certificate of occupancy ambayo ni 3000 ila hata kama imepanda haiwezi kuwa juu sana (hii ilikuwa 2006)
  • Registration fees ni 2106
  • Survey fees 24,570
- Deed Plan fees 6,000
  • Stamp duty on Certificate and Duplicate 1,000
  • Land rent ya mwaka ambao amenunua kiwanja 11,000 (baada ya hapo kila July mhusika unakwenda kulipa
Hivyo ukijumlisha zote kuanzia premium mpaka hizo gharama nilizokuonyesha unapata gharama halisi ya kiwanja na ipo indicated kwenye letter of offer. Let say, kama gharama ya kiwanja ni milion moja (ambayo ndio imeandikwa premium kwenye letter of offer) maana yake gharama ya kiwanja jumlisha hizo cost ndogondogo.

Ukisoma hivyo vigharama utagundua kila kitu kilishalipiwa na mnunuzi wa kwanza ambapo kimsingi kilichofanyika ni kubadili jina tu condition zingine zinabaki vilevile, so hati ni bure in this case unless taratibu ziwe zimebadilika, gharama ambayo utaingia ni hiyo ya mwanasheria ambayo ukienda utalipa labda mwekundu anagonga mhuri na kupiga sahihi na wewe unapiga sahihi mbele yake.

Tafuta ofisi ya kamishina wa ardhi, huwa zipo kikanda upate taratibu, sasa kwa Morogoro sijui watakuwa na ofisi hapo au mtakuwa mnahudumiwa na Dar ili upate mwongozo maana watu wa idara ya ardhi sio
 
Hhati miliki kwa sasa zinatolewa kwenye eneo ambalo lina master plan, tofauti na zamani ambapo hata kama ulikuwa na shamba ambalo haliko kwenye plan unaweza kuipata hiyo, kwa sasa imesitishwa.

Unachotakiwa kufanya ni kuchukua coordinate za shamba au kiwanja chako (UTM coordinate) kwa kutumia GPS, and then unaenda wilayani au Wizara ya Ardhi, pale kuna ramani zote na plan zake, kwa hiyo unaangalia zile coordinate zako zinaangukia kwenye plan gani, kwa sasa kama hizo coordinate zako zinaangukia kwenye plan ya shule au makaburi au hospital au kama hakuna plan kabisa basi inakuwa shida sana kupata HATI MILIKI.

Kuhusu mikopo sijui wewe upo eneo gani, lakini kuna maeneo haya ya makazi yasiyo rasmi (squater area), kama baadhi ya maeneo ya Mazense, Tandale, Mwananyamala na aina hiyo ya maeneo, hayo Maeneo sasa yanatambuliwa kiserekali na kuna kitu inaitwa HATI YA MAKAZI

Kwa wilaya ya kinondoni inapatikana pale Mwananyamala (DSSD) Jiji, karibu na Hospitali ya Mwanyamala, hiyo inatambilisha kuwa hii nyumba ni ya nani, somesort ya hatimiliki!

Sasa hiyo (hati ya makazi) kuna baadhi ya bank (Azania Bankcop) wanaikubali na wanatoa mkopo kwa hiyo na mara nyingi mkopo wao hauzidi 10m, regardless na thamani ya nyumba yako.


Kkama kuna cha ziada just ask!
OK
Nafuatilia hii kitu
 
Mkuu ni pm namba yako
Kama una issue wewe tupia tu hapa ili tuelimishane kwa pamoja ili kama nakueleza kitu kama nakuwa nimekosea mwingine anarekebisha... mie sio mtaalam kivile ile nina share uzoefu kama mmilki wa ardhi.

Huu uzi ni wa miaka 14 iliyopita (tangu 2010) na taratibu pia zimebadilika hivyo sintokupa kitu sahihi sana huko PM lakini hapa inakuwa rahisi kurekebishana
 
Back
Top Bottom