Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,383
- 9,337
kila mtu na ashinde mechi zakeee....baki na genye zakooo hahaaaaaNa wanaume wenye hela hawapendi wanawake ombaomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila mtu na ashinde mechi zakeee....baki na genye zakooo hahaaaaaNa wanaume wenye hela hawapendi wanawake ombaomba
Kulelewa RahaImagine watoto wake wanajifunza nini. Inawezekana kuna muda uchebe anakula mzigo watoto wanasikia mama yao anavyokunjwa na kusikia utamu.
Asubuhi uchebe anatoka sebuleni kavaa taulo kifua nje unadhani wale watoto hawatapata hamu ya kumuonja baba yao wa kambo na ukizingatia ni kijana mwenzao kabisa. [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukute mtoto wa kiume sasaMtoto bora aishi na mama yake
Kulea ni tofauti na Kunyonyesha.Eeh..watajua hawajui... Shwain kabisaa!! Kama sijui kulea angeonekana hata kwenye hiyo picha?
Napiga nao picha coz their my pride! Hapo utakuta libaba lisilohudumia hata 100 linakuja kuiba picha..hahahahaa!
Bib kivip..?yaan mwanamke anyang'anaye mtoto afu mtoto apelekwe kwa bib ili bib amlee Kwan mama yake amekufa mpka bib amlee?ngumu kumeza ningekuwa mwanamke nisingeruhusu mtoto wangu alelewe na bib kama ningali hai ntapambana tu.
Ana umri gani huyo mtoto?
Pana mengi yanazingatiwa hapo. Mtoto anaweza achukuliwe hata akiwa na mwaka ilimradi tu ithibitike kuwa mama ana kiwango cha chini cha matunzo kuliko baba. Kwa mfano mama hana makazi maalum, anafanya kazi hatarishi kwa mtoto, ana kichaa au maradhi ya muda mrefu au anamnyanyasa mtoto.Hakuna kitu kama hicho mtt akifikisha miaka 7 ni haki ya baba kumchukua kama hutaki utalea mwenyewe
Ni sawa ndio maana tukasema jamaa ajenge hoja. Sio kumchukia tu mzazi mwenzio useme unataka upewe mtotoPana mengi yanazingatiwa hapo. Mtoto anaweza achukuliwe hata akiwa na mwaka ilimradi tu ithibitike kuwa mama ana kiwango cha chini cha matunzo kuliko baba. Kwa mfano mama hana makazi maalum, anafanya kazi hatarishi kwa mtoto, ana kichaa au maradhi ya muda mrefu au anamnyanyasa mtoto.
Lakino pia ithibitike kuwa mtoto anakoenda kuishi kuna usalama wa kutosha na upatikanaji wa huduma za msingi kwa uhakika.
Nilimchukua mwanangu wa mwaka na miezi mitatu kutoka kwa mama baada ya kujenga hoja, mamake kaolewa na mume mwingine, sina imani na usalama wa mtoto wangu, nilipewa mtoto na nilimlea vema.