Utaratibu wa askari wetu kuvaa au kutokuvaa uniform wanapotekeleza majukumu yao ukoje?

Utaratibu wa askari wetu kuvaa au kutokuvaa uniform wanapotekeleza majukumu yao ukoje?

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Wasalaam,
Kwanza kabisa niwapongeze na kuwashukuru askari wetu wa jeshi la polisi kwa KUTEKELEZA MAJUKUMU yao, watu mengi huwabeza askari wetu lakini ukweli ni kwamba bila wao hata kaugali tusingeweza kulala kwa amani huku mitaani.

Jambo ninaloomba ufafanuzi ni kwamba ukoje utaratibu wa askari wetu kuvaa uniform wanapokuwa katika majukumu yao. Juzi nilikutana na jamaa wawili wamebeba bunduki AK 47 mtaani nilishtuka nikajua sekunde kadhaa mtaa utatekwa na ama majambazi wa kutumia silaha fasta nikaingia duka jirani kusikilizia milio ya risasi, cha kushangaza jamaa wakapita zao nikaja kugundua kumbe ni askari heee.

Sasa kwa mtindo huo si wahalifu wanaweza kutumia udhaifu huo wa kutovaa uniform wakatembea na mitutu na ghafla kuwa umbush watu!? Je siku hizi utaratibu wa askari kuvaa uniform ni option na sio lazima kama zamani?!

Kuna kituo kimoja cha polisi Mtibwa nilishawahi kwenda pale mwaka jana aise hakukua na askari hata mmoja aliyevalia uniform, hili nimekaaje wakuu.
 
Ungewakemea mkuu, wanabebaji silaha zilizonunuliwa kwa kodi zetu bila kuvaa uniform?
Kama unawaogopa basi Dai katiba mpya, utaweka maoni yako askari asiye na uniform asibebe smg.
Ukitaka kujua utaratibu na kwanini basi ni bora umuulize mkuu wa kituo.
Hapa wengi wanasiasa tu.
 
Wasalaam,
Kwanza kabisa niwapongeze na kuwashukuru askari wetu wa jeshi la polisi kwa KUTEKELEZA MAJUKUMU yao, watu mengi huwabeza askari wetu lakini ukweli ni kwamba bila wao hata kaugali tusingeweza kulala kwa amani huku mitaani.


Jambo ninaloomba ufafanuzi ni kwamba ukoje utaratibu wa askari wetu kuvaa uniform wanapokua katika majukumu yao. Juzi nilikutana na jamaa wawili wamebeba bunduki AK 47 mtaani nilishtuka nikajua sekunde kadhaa mtaa utatekwa na hama majambazi wa kutumia silaha fasta nika ingia duka jirani kusikilizia milio ya risasi, cha kushangaza jamaa wakapita zao nikaja kugundua kumbe ni askari heee.

Sasa kwa mtindo huo si wahalifu wanaweza kutumia udhaifu huo wa kutovaa uniform wakatembea na mitutu na ghafla kuwa umbush watu !? Je siku hizi utaratibu wa askari kuvaa uniform ni option na sio lazima kama zamani ?!


Kuna kituo kimoja cha polisi Mtibwa nilishawahi kwenda pale mwaka jana aise hakukua na askari hata mmoja aliyevalia uniform, hili nimekaaje wakuu.
Afu utakuta wana rasta kabisa na mindevu mingi kinoma
 
kama umefikisha miaka 17 kuendelea hujajua polisi wanafananaje kuna tatizo sehemu.

siku hamza ameshika bunduki wananchi wote waliokuwa eneo lile walijua huyu ni kimeo.
 
Police huwa wanajulikana tu mbona mbona hamza alijulikana tu n kimeo
 
Wasalaam,
Kwanza kabisa niwapongeze na kuwashukuru askari wetu wa jeshi la polisi kwa KUTEKELEZA MAJUKUMU yao, watu mengi huwabeza askari wetu lakini ukweli ni kwamba bila wao hata kaugali tusingeweza kulala kwa amani huku mitaani.

Jambo ninaloomba ufafanuzi ni kwamba ukoje utaratibu wa askari wetu kuvaa uniform wanapokuwa katika majukumu yao. Juzi nilikutana na jamaa wawili wamebeba bunduki AK 47 mtaani nilishtuka nikajua sekunde kadhaa mtaa utatekwa na ama majambazi wa kutumia silaha fasta nikaingia duka jirani kusikilizia milio ya risasi, cha kushangaza jamaa wakapita zao nikaja kugundua kumbe ni askari heee.

Sasa kwa mtindo huo si wahalifu wanaweza kutumia udhaifu huo wa kutovaa uniform wakatembea na mitutu na ghafla kuwa umbush watu!? Je siku hizi utaratibu wa askari kuvaa uniform ni option na sio lazima kama zamani?!

Kuna kituo kimoja cha polisi Mtibwa nilishawahi kwenda pale mwaka jana aise hakukua na askari hata mmoja aliyevalia uniform, hili nimekaaje wakuu.
Hiyo ni hatari sana, askari akiwa na bunduki kubwa inapasa awe na uniform.
 
Unamaanisha ulichokiandika mkuu!?
kama umefikisha miaka 17 kuendelea hujajua polisi wanafananaje kuna tatizo sehemu.

siku hamza ameshika bunduki wananchi wote waliokuwa eneo lile walijua huyu ni kimeo.
 
Back
Top Bottom