Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Wakuu hembu nipeni utaratibu wa kisheria.
Kuna mtu alipewa RB kwa ajili ya kumkamata mtuhumiwa wa madai.Sasa amemtia hatiani leo alfajiri baada ya kuhangaika kumsaka muda wa mwezi mzima.
-Je sheria ya kusema ndani ya msaa 24 apelekwe mahakamani ina apply kwa kila tukio?
-Na je dhamana ya mtuhumiwa ni lazima mshtaki aikubali kwa kigezo kwamba mahabusu aachie ndani ya masaa 24?
-Na Je dhamana ya mtu kwa sheria ya masaa 24 apelekwe mahakamani na Kesho ni May Mosi.
Je ikitoka dhamana inakuwa kisheria?au hadi Jtatu?
Kuna mtu alipewa RB kwa ajili ya kumkamata mtuhumiwa wa madai.Sasa amemtia hatiani leo alfajiri baada ya kuhangaika kumsaka muda wa mwezi mzima.
-Je sheria ya kusema ndani ya msaa 24 apelekwe mahakamani ina apply kwa kila tukio?
-Na je dhamana ya mtuhumiwa ni lazima mshtaki aikubali kwa kigezo kwamba mahabusu aachie ndani ya masaa 24?
-Na Je dhamana ya mtu kwa sheria ya masaa 24 apelekwe mahakamani na Kesho ni May Mosi.
Je ikitoka dhamana inakuwa kisheria?au hadi Jtatu?