Utaratibu wa Dhamana

Utaratibu wa Dhamana

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,568
Reaction score
9,710
Wakuu hembu nipeni utaratibu wa kisheria.

Kuna mtu alipewa RB kwa ajili ya kumkamata mtuhumiwa wa madai.Sasa amemtia hatiani leo alfajiri baada ya kuhangaika kumsaka muda wa mwezi mzima.

-Je sheria ya kusema ndani ya msaa 24 apelekwe mahakamani ina apply kwa kila tukio?

-Na je dhamana ya mtuhumiwa ni lazima mshtaki aikubali kwa kigezo kwamba mahabusu aachie ndani ya masaa 24?

-Na Je dhamana ya mtu kwa sheria ya masaa 24 apelekwe mahakamani na Kesho ni May Mosi.
Je ikitoka dhamana inakuwa kisheria?au hadi Jtatu?
 
Back
Top Bottom