Utaratibu wa kibaguzi kupiga picha za NIDA Dodoma

Utaratibu wa kibaguzi kupiga picha za NIDA Dodoma

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Leo nimekaa kwenye foleni ya kupiga picha za NIDA kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa nane kamili

Watu ni wengi na utendaji wa hao watu wa NIDA na mashine zao ni slow sana

Sasa ubaguzi ni kwamba wenzetu wenye Asili ya kihindi wanafika na hawakai folen wanapita moja kwa moja kwenda kupiga picha, ukiwauliza wale watendaji wa NIDA wanasema ni simu kutoka juu

Hii kitu inaumiza sana
 
Tunaendelea, saa yangu hapa ni saa nane na dk 37 ( 2:37 PM )
 
Leo nimekaa kwenye foleni ya kupiga picha za nida kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa nane kamili

Watu ni wengi na utendaji wa hao watu wa NIDA na mashine zao ni slow sana

Sasa ubaguzi ni kwamba wenzetu wenye Asili ya kihindi wanafika na hawakai folen wanapita moja kwa moja kwenda kupiga picha, ukiwauliza wale watendaji wa NIDA wanasema ni simu kutoka juu

Hii kitu inaumiza sana
sio ubaguzi bali wahindi wao wananyoosha mkono wakati wewe mkono wako umeuficha kwapani.
 
Hivi NIDA wamewahi kufanya jambo gani with perfection? Wao ni matatizoooo tu! Utadhani hakuna wasomi na wabobezi wa mambo humo.[emoji35][emoji35][emoji35]


Sent using iPhone Xr
 
Wapo watakaokubishia,wengine wafata bendera ya comment ya kwanza kuvuruga uzi. Bila connection Nida utaisikia kwenye taarifa za habari
 
Hivi NIDA wamewahi kufanya jambo gani with perfection? Wao ni matatizoooo tu! Utadhani hakuna wasomi na wabobezi wa mambo humo.[emoji35][emoji35][emoji35]


Sent using iPhone Xr
Nda wamepewa bajeti kiduchu saana.
 
Leo nimekaa kwenye foleni ya kupiga picha za NIDA kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa nane kamili

Watu ni wengi na utendaji wa hao watu wa NIDA na mashine zao ni slow sana

Sasa ubaguzi ni kwamba wenzetu wenye Asili ya kihindi wanafika na hawakai folen wanapita moja kwa moja kwenda kupiga picha, ukiwauliza wale watendaji wa NIDA wanasema ni simu kutoka juu

Hii kitu inaumiza sana
We bwege kweli. Mhindi anakubagua kwenye nchi yako? Poleni wagogo. Ingekua ni wameru au wachaga leo pangekua na damu hapo
 
Back
Top Bottom