Utaratibu wa kibaguzi kupiga picha za NIDA Dodoma

Utaratibu wa kibaguzi kupiga picha za NIDA Dodoma

Wapo watakaokubishia,wengine wafata bendera ya comment ya kwanza kuvuruga uzi. Bila connection Nida utaisikia kwenye taarifa za habari

Leo nimeona connection zinavyofanya kazi hapa Dodoma
 
We bwege kweli. Mhindi anakubagua kwenye nchi yako? Poleni wagogo. Ingekua ni wameru au wachaga leo pangekua na damu hapo

Ukiandika bila kutukana unabadilika jinsia au
 
Wewe utakuwa jobless tu.. Unakaaje kwenye folen masaa yote hayo??

Hao wahindi wana shughuli za msingi kuliko kukaa kwenye foleni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo suala ndugu lipo ofisi zoote za Nida...yan n kama hawa wahindi wanaoeana taarfa kuwa wabongo ni wehu...!!

Nakumbuka sisi tuliwakaripia walinzi na wasimamizi kwa ujinga huo huo...tukawachana live kuwa waache upopoma wa kudharau waafrika wenzao kisa akina kanjibai...maana ilikuwa folen haiendi mhindi ashaingia...!!wenyew wakawa serious na tukasepa fasta

Kuna mda inabidi uongee kupata haki yako...sasa wew kaa tu....!!hapo wenzako wanajua huna haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom