DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Ni simu imeoigwa kutoka juu.....! Nasikia harufu ya rushwa sijuindo chakula gani iyo..We bwege kweli. Mhindi anakubagua kwenye nchi yako? Poleni wagogo. Ingekua ni wameru au wachaga leo pangekua na damu hapo
Wewe utakuwa jobless tu.. Unakaaje kwenye folen masaa yote hayo??
Hao wahindi wana shughuli za msingi kuliko kukaa kwenye foleni!
Sent using Jamii Forums mobile app