Utaratibu wa kuandika barua ya posa

Aiseeh! Asante mkuu
 
Habar wana JF
Kuna jamaa yang anatak nimpelekee posa mahali furah ubaya sijui wala cjawahi soma barua ya posa inaandikwa vip nimejalibu kumweleza kuwa cjui chochote lakn jamaa hatak kunielewa ananambia nijitaid nikapiga esabu nikasema hapo siwez kukosa mtu ambaye anajua kuandika au kuona jinsi inavyoandikwa plz nimekwamaaa
 
Toa details kama: Dini yake,kabila lake na kabila la huyo anayetaka kumposa pamoja na dini yake.Then tuendelee
 


Akipeleka tu Pesa / Hela tayari ni Posa tosha wala hakuna haja ya kuanza kupindishana migongo kuandika mibarua. Fwedha ndiyo kila kitu katika hii Digital World Mkuu asikudanganye Kiumbe yoyote yule.
 
Akipeleka tu Pesa / Hela tayari ni Posa tosha wala hakuna haja ya kuanza kupindishana migongo kuandika mibarua. Fwedha ndiyo kila kitu katika hii Digital World Mkuu asikudanganye Kiumbe yoyote yule.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseeeee na usawa huuu wa magu!!
Hata bond MTT una ng'oka nayeee
 
Aliwezaje kutongaza mpaka akatoa ahadi ya kutaka kumuoa.
 
Barua:
Salaam Mr & mrs fulani.
Familia ya yetu (mr&mrs fulani) tunapenda kifikisha kwenu hitaji la kijana wetu Fulani Bin Fulani, la kumuoa binti yenu Miss Fulani, hii ni baada ya kuwa wameishafahamiana na kutambulishana katika familia na wameridhiana kuishi pamoja kama mume na mke. Tumeambatanisha na kitu kidogo kama shukrani ya ninyi kuridhia hitaji la wanetu hawa.

Mr & mrs Fulani.




Imeisha hiyo hakuna mbwembwe, weka na kasenti kidogo humu ndani ikiwa tu wazazi wa binti ni waki- ordinary, ila kama ni wazazi wa kidigitali achana na habari za kuweka pesa humo.
 
watumie meseji whatsapp tu na kijisalio cha tigopesa kisha nenda kaopoe jiko lako.
 
Haya mambo yanachangamoto kuyafahamu..usione watu wameoana wengi wamefanyiwa haya mambo, hawayafahamu..

Suala la michakato ya uchumba inategemeana na dini pamoja na kabila...kuna makabila yanapeleka jembe tu na inakuwa ishafahamika nini kinaendelea.
 
namuona mleta uzi akikopi kila ulichoandika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…