J jimmy gab Senior Member Joined Dec 11, 2016 Posts 116 Reaction score 67 Mar 3, 2017 #1 Wadau naomba kujua ni utaratibu na vigezo gani nahitaji kufuata ili kuendesha biashara ya fumigation katika kampuni yangu.
Wadau naomba kujua ni utaratibu na vigezo gani nahitaji kufuata ili kuendesha biashara ya fumigation katika kampuni yangu.
Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,629 Reaction score 34,199 Mar 4, 2017 #2 jimmy gab said: Wadau naomba kujua ni utaratibu na vigezo gani nahitaji kufuata ili kuendesha biashara ya fumigation katika kampuni yangu. Click to expand... Kampuni yako inaitwaje ? Uko wapi ? Kampuni yako ishasajiliwa ? Unayo ofisi na zana zote zinazotakiwa ? Waone TPRI ndio wanaohusika na usajili huo.
jimmy gab said: Wadau naomba kujua ni utaratibu na vigezo gani nahitaji kufuata ili kuendesha biashara ya fumigation katika kampuni yangu. Click to expand... Kampuni yako inaitwaje ? Uko wapi ? Kampuni yako ishasajiliwa ? Unayo ofisi na zana zote zinazotakiwa ? Waone TPRI ndio wanaohusika na usajili huo.
J jimmy gab Senior Member Joined Dec 11, 2016 Posts 116 Reaction score 67 Mar 4, 2017 Thread starter #3 Mkaruka said: Kampuni yako inaitwaje ? Uko wapi ? Kampuni yako ishasajiliwa ? Unayo ofisi na zana zote zinazotakiwa ? Waone TPRI ndio wanaohusika na usajili huo. Click to expand... Mkuu nashukuru sana kwa majibu na ushauri wako. Nipo Mwanza, kampuni ina ofisi na imesajiliwa Brela pia.
Mkaruka said: Kampuni yako inaitwaje ? Uko wapi ? Kampuni yako ishasajiliwa ? Unayo ofisi na zana zote zinazotakiwa ? Waone TPRI ndio wanaohusika na usajili huo. Click to expand... Mkuu nashukuru sana kwa majibu na ushauri wako. Nipo Mwanza, kampuni ina ofisi na imesajiliwa Brela pia.
Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,629 Reaction score 34,199 Mar 4, 2017 #4 jimmy gab said: Mkuu nashukuru sana kwa majibu na ushauri wako. Nipo Mwanza, kampuni ina ofisi na imesajiliwa Brela pia. Click to expand... Uko Serious, Watafute TPRI ndio hasa wasajili na wasimamizi wa Viatilifu vyote vya wadudu - Nadhani utapata ushauri mzuri na leseni pia ili ufanye kazi kwa uhuru na kuaminika
jimmy gab said: Mkuu nashukuru sana kwa majibu na ushauri wako. Nipo Mwanza, kampuni ina ofisi na imesajiliwa Brela pia. Click to expand... Uko Serious, Watafute TPRI ndio hasa wasajili na wasimamizi wa Viatilifu vyote vya wadudu - Nadhani utapata ushauri mzuri na leseni pia ili ufanye kazi kwa uhuru na kuaminika