JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Kwa mujibu Kanuni za Kudumu za Bunge Kifungu cha 30 (2) kinaeleza;
Endapo Mbunge atachaguliwa au kuteuliwa baada ya Uchaguzi Mkuu Spika atamuapisha katika:
b) Kikao chochote cha Bunge iwapo kuna Mkutano wa Bunge au;
b) Eneo litakalopangwa na Spika iwapo hakuna Mkutano wa Bunge unaoendelea
Baadaye Spika atatoa taarifa Bungeni kwenye Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Bunge unaofuata
Upvote
3