Utaratibu wa kufuata ili kuonana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mazungumzo binafsi

Anzia kwa mjumbe wako wa mtaa, atakutambulisha kwa mwenyekiti wa serikali yako ya mtaa, utaelekezwa kwa mkuu wa wilaya, halafu kama upo mkoani utaelekezwa kwa mkuu wa mkoa na mkuu wako wa mkoa atakupeleka kwa Bashite, yeye ndiye atakukutanisha na Le Prezidaaa
 
Andikaaa baruaaa kwendaaa ikuluuuu

sent from my desktop computer
 
Ahsantee! Sanaaa. Mungu akubariki.
 
Raisi ana wawakilishi kila ngazi, mtaa, kitongoji, kata, tarafa, wilaya, mkoa na taifa.

Kwaio kama shida yako inaweza kutatuliwa kati ya hizo ngazi basi tayari utakua umemona raisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Email:ikulu@yahoo.com

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Unataka kuonana na rais was TLS au TFF mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…