KATUNZI THE YOUNG
Member
- Jan 2, 2015
- 37
- 3
Habari za shughuli wadau nilitaka nifahamishwe juu ya hili :
nasikia ili kuhairisha masomo chuoni kama umeshasoma lazima uandike barua chuoni sasa ni utaratibu gani stahiiki unafuatagwa chuoni sababu nasikia vyuo vigine watu huwa wanagomewa naomba msaada tafadhari njia ipi ifuatwe ili kupata barua ya kupeleka TCU
NTASHUKURU SANA
nasikia ili kuhairisha masomo chuoni kama umeshasoma lazima uandike barua chuoni sasa ni utaratibu gani stahiiki unafuatagwa chuoni sababu nasikia vyuo vigine watu huwa wanagomewa naomba msaada tafadhari njia ipi ifuatwe ili kupata barua ya kupeleka TCU
NTASHUKURU SANA