Utaratibu wa kugawana nyumba

Utaratibu wa kugawana nyumba

kama walitafuta wote.mke Ana asilimia zake.
Hapo Kama Ana hela ampooze asepe
 
Hustles zote ni za Bro. peke yake.

Sasa hivi ametoka kuongea na mother,
Amemwambia mother kuwa
"Huyu mke akiendeleza usumbufu,
Nachukua mkopo benki kwa dhamana ya nyumba,
Halafu hela naenda kuinvest kwingine.
Kisha benki waje waipige mnada hii nyumba, tuone atadai nini!!!".

Wanawake wanapenda ligi zisizofaa kabisa.
Ubaya, ubaya tu.

Unipige shavu la kulia, nikugeuzie la kushoto, mie ni YESU! ?
Toa wembe, nitoe kisu [emoji3538]
 
Hawa wanawake wa siku hizi kwann mnahangaika nao katika kutafuta maisha?! Wewe tafuta maisha akija akukute nayo.

Mabinti wa siku hizi hawana discipline na wanajiona wajuaji na wanapenda sana kujiandaa kwa shari.
 
Mke nd'o amedai talaka.
Kwa mujibu wa Bro. anadai migogoro ilishamiri baada ya Bro. kupata kibarua wilaya ingine.
Mwanamke ni mkorofi. Kwasababu mwanamke anaejielewa hawezi vunja ndoa kwa sababu za kipuuzi. Mtu mnawatoto tayari, mna mji kwann sasa msimalizane kiutu uzima
 
Hawa wanawake wa siku hizi kwann mnahangaika nao katika kutafuta maisha?! Wewe tafuta maisha akija akukute nayo.

Mabinti wa siku hizi hawana discipline na wanajiona wajuaji na wanapenda sana kujiandaa kwa shari.
Sahihi mkuu....yani ni unasaka life then anakuja na nguo zake tu🙁kikiumana conclusion inajulikana

Yani wanasuburi ushateseka weee then ile hali kumuweka ndani ndo anaona kama fursa ya kukuvuna shenzi
 
Waheshimiwa,
Kaka yangu amehustle akiwa single,
Akanunua kiwanja,
Akaanza ujenzi mpaka kukamilisha foundation.

Akawa anaendelea kusevu ili ainue boma.

Kabla hajakamilisha boma, akaingia kwenye ndoa na mchumba wake.

Ujenzi ukaendelea akiwa kwenye ndoa (mkewe ni mama wa nyumbani),
Mpaka wakahamia kwenye ile nyumba.
Hatimaye wakapata mtoto.

Baada ya miaka miwili, ndoa ikaanza kuwa na migogoro kiasi cha kupeana talaka.

Mke anataka nyumba iuzwe, ili wagawane nusu kwa nusu.

Kwa muktadha huu ni sahihi huyu mke kudai nusu ya thamani ya nyumba?
Sheria ya ndoa imeweka utaratibu ambao hutumika kama msingi wakugawanya Mali za wanandoa zilizopatikana kwa nguvu ya pamoja.

Kinachoangaliwa nimchango wakila mwanandoa katika kupatikana kwa mali husika. Kwahio unapaswa kuithibitishia mahakama namna ambavyo Mali imepatikana namchangowako katika upatikanajiwake.

Hatakama wewe ulinunua uwanja nakuweka msingi, baadae muendelezo wakupandisha jengo mpaka upauaji na ukarabati uliwahusisha ninyinyote wawili(yaani kila mmoja wenu alishiliki kwa namna moja ama nyingine kulikamilisha jengo) basi mahakama huamua kugawa kulingana na mchango wakila mmoja.

Hicho ndicho kipimo.
 
A

Hatua ya kwanza amfukuze huyo mwanamke toka ndani ya nyumba. Kisha mke akienda mahakamani mume aweke Wakili Mzuri kisha Wakili adai kuwa,mke nyumba kaikuta pili hajachangia chochote. Mahakimu huwa wanatofautiana kuhusu namna ya kugawana Mali iliyopatikana ndani ya ndos kuna ambao wanaangalia mchango wa mwenza na kuna wanaogawa nusu kwa nusu lakini kwa Mali iliyochumwa,ndani ya ndoa tu. Huyo Jamaa akijenga hoja vizuri mahakama itatathmini thamani iiliyoongezeka baada ya ndoa na ndio watapigia mgao tu kisha mume anaweza omba kumlipa fidia sio lazima nyumba kuzwe. Mume akiwa mjanja hapo mke anatoka kapa. Suala la mtoto sio hoja nyumba sio Mali ya mtoto
Mfano mme anaweza kufanya ujanja gani ili mke atoke kapa?
 
Hustles zote ni za Bro. peke yake.

Sasa hivi ametoka kuongea na mother,
Amemwambia mother kuwa
"Huyu mke akiendeleza usumbufu,
Nachukua mkopo benki kwa dhamana ya nyumba,
Halafu hela naenda kuinvest kwingine.
Kisha benki waje waipige mnada hii nyumba, tuone atadai nini!!!".

Wanawake wanapenda ligi zisizofaa kabisa.
Na hapo kuchukua mkopo hawezi kwa kuwa kama ameoa lazima mke asaini

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Waheshimiwa,
Kaka yangu amehustle akiwa single,
Akanunua kiwanja,
Akaanza ujenzi mpaka kukamilisha foundation.

Akawa anaendelea kusevu ili ainue boma.

Kabla hajakamilisha boma, akaingia kwenye ndoa na mchumba wake.

Ujenzi ukaendelea akiwa kwenye ndoa (mkewe ni mama wa nyumbani),
Mpaka wakahamia kwenye ile nyumba.
Hatimaye wakapata mtoto.

Baada ya miaka miwili, ndoa ikaanza kuwa na migogoro kiasi cha kupeana talaka.

Mke anataka nyumba iuzwe, ili wagawane nusu kwa nusu.

Kwa muktadha huu ni sahihi huyu mke kudai nusu ya thamani ya nyumba?
Mke hana uwezo wa kutoa maelekezo kwa nyumba iuzwe isipokuwa mahakama
Na mahakama lazima ijilizishe kuwa mchango wa kila mmoja katika hiyo mali
Na kama ni mama wa nyumbani huwa wanapenda kugawa 30 to 70 asilimia

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Aombe sana asikutane na hakimu MWANAMKE vinginevyo wanaweza kuamriwa kuuza nyumba na kugawana

Sasa hivi kuna upuuzi mwangi sana wa kuwaona kama wanawake ni victims mbele ya wanaume

Achana na maoni ya watu mtaani atafute wakili amsaidie
 
Sheria ya ndoa imeweka utaratibu ambao hutumika kama msingi wakugawanya Mali za wanandoa zilizopatikana kwa nguvu ya pamoja.

Kinachoangaliwa nimchango wakila mwanandoa katika kupatikana kwa mali husika. Kwahio unapaswa kuithibitishia mahakama namna ambavyo Mali imepatikana namchangowako katika upatikanajiwake.

Hatakama wewe ulinunua uwanja nakuweka msingi, baadae muendelezo wakupandisha jengo mpaka upauaji na ukarabati uliwahusisha ninyinyote wawili(yaani kila mmoja wenu alishiliki kwa namna moja ama nyingine kulikamilisha jengo) basi mahakama huamua kugawa kulingana na mchango wakila mmoja.

Hicho ndicho kipimo.

Mkuu hata kama mkeo ni mama wa nyumbani na hajui kutengeneza hata sh 10 mali zote mlizopata wakati mpo pamoja ni zakwenu wote

Angalau kama alizikuta lakini kama mali zilimkuta mtagawana kama option itakua ni kugawana
 
Mke hana uwezo wa kutoa maelekezo kwa nyumba iuzwe isipokuwa mahakama
Na mahakama lazima ijilizishe kuwa mchango wa kila mmoja katika hiyo mali
Na kama ni mama wa nyumbani huwa wanapenda kugawa 30 to 70 asilimia

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app

Kitendo cha kukaa na mwanamke kama mkeo
Akakupikia akakufulia nk hata kama aliyefanya ni house girl basi huo ndio mchango wake
Haitaji kutoa hela yoyote

Mfanyakazi mwenzangu nyumba iliuzwa hivi hivi na wakagawana 50/50 na mkewe mama wa nyumbani

Kuna mambo mengi sana mwanamke akipata wakili mzuri atakusumbua sana unaweza kuambulia 30/100

Tena mbaya zaidi mwanamke akikaa na watoto UTAJUTA

Tatizo ya sheria hizi zimeingizwa siasa nyingi za kutetea wanawake
Yaani hukumu zinategemea ushawishi wa hoja na busara za mahakama na sio FACT
 
Back
Top Bottom