Barya
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 949
- 1,193
Habari watanzania wenzangu matumaini yangu ni kuwa mnaendelea vema na hapa kazi tuu uko nchini kwetu,
Lengo ni kuwashirikisha na kupata mawazo yenu
Ninazo machine nne za mbao kazi zake ni
1. Kukata
2. Kuranda
3. Kupasua
4. Kuchora maua,
Ni machine nzuri made in German and italy ,( digital machines with spares)
Machine kwa sasa zipo jijin tallin nchini Estonia, ( Baltic region)
Thaman ya machine hizi ( market value ni 4500 Euros kwa kila moja, japo mi ntauza kwa bei nayotaka kwa kuwa ni zangu na sitaki faida kubwa sana.
Naomba kujua gharama za kusafirishaji hadi Tanzania, na kuzilipia kodi
Note that gharama za usafirishaji kwa ku share container nazijua za kampuni moja nataka nyingine nifanye comparison, pia nijue jinsi gan zinalipiwa bandarini, na taratibu zake
Pia nikizifikisha dar naziuza maana ndo lengo hasa la kuzisafirisha kuzitoa Estonia mpaka dar
Kwa mawasiliano zaid ni PM , kwa yeyote ambaye yuko interested anaweza kujoin nami tukafanikisha kazi hii
+37258767335
+971523328490
Lengo ni kuwashirikisha na kupata mawazo yenu
Ninazo machine nne za mbao kazi zake ni
1. Kukata
2. Kuranda
3. Kupasua
4. Kuchora maua,
Ni machine nzuri made in German and italy ,( digital machines with spares)
Machine kwa sasa zipo jijin tallin nchini Estonia, ( Baltic region)
Thaman ya machine hizi ( market value ni 4500 Euros kwa kila moja, japo mi ntauza kwa bei nayotaka kwa kuwa ni zangu na sitaki faida kubwa sana.
Naomba kujua gharama za kusafirishaji hadi Tanzania, na kuzilipia kodi
Note that gharama za usafirishaji kwa ku share container nazijua za kampuni moja nataka nyingine nifanye comparison, pia nijue jinsi gan zinalipiwa bandarini, na taratibu zake
Pia nikizifikisha dar naziuza maana ndo lengo hasa la kuzisafirisha kuzitoa Estonia mpaka dar
Kwa mawasiliano zaid ni PM , kwa yeyote ambaye yuko interested anaweza kujoin nami tukafanikisha kazi hii
+37258767335
+971523328490