Utaratibu wa kuiuzia mahindi Serikali kupitia NFRA ni mgumu sana

Utaratibu wa kuiuzia mahindi Serikali kupitia NFRA ni mgumu sana

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,355
Reaction score
14,408
Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.

OMBI LANGU KWA SERIKALI
1. Ninamuomba Waziri wa Kilimo aingilie kati hali hii,asione watu wanatorosha mazao nje ya nchi. Wakulima tunateseka kila kona kuanzia shambani hadi kwenye kuuza mazao uliyolima kwa jasho.

2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.

Ni hayo tu
 
Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.

OMBI LANGU KWA SERIKALI
1. Ninamuomba Waziri wa Kilimo aingalie kati hali hii,asione watu wanatorosha mazao nje ya nchi. Wakulima tunateseka kila kona kuanzia shambani hadi kwenye kuuza mazao uliyolima kwa jasho.

2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.

Ni hayo tu
Pole sana kamanda ndo life,
Wanasema hamna kitu rahisi
 
Kitu ambacho hukijui na serikali haijui ni kwamba nfra Wana mawakala wao kwenye vijiji ,hao mawakala walipewa pesa na viongozi wa nfra mkoa kukusanya mahindi kwa wakulima tangia mwezi wa tano mavuno yalipoanza ,kwa hiyo serikali inapotoa pesa kama hivi wao wenyewe ndio wanaanza kuyauza mahindi ya kwao waliyonunua kwa wananchi kwa Bei ya ulanguzi ,pesa yote serikali inayotoa wanaitumia kuuza shehena zao walizolangua kwa wakulima kwa Bei 35 ,40 na sasa wanajiuzia kwa 70000 sasa ukipeleka wewe mahindi yako yakiwa machache hawakusumbui tani Moja mpaka tano lakini ukiwa na mahindi mengi kuanzia ton kumi ,wanakukandamiza ili uende kuuza kwa walanguzi na walanguzi ni watu wao wenyewe ! Wanalangua Kisha wanajiuzia hiyo ndio biashara iliyopo nenda kaone vituo vidogo kama ,mpui ,kaengesa ,matai nk pole sana hii ndio tanzaniano !
 
Ul
Kitu ambacho hukijui na serikali haijui ni kwamba nfra Wana mawakala wao kwenye vijiji ,hao mawakala walipewa pesa na viongozi wa nfra mkoa kukusanya mahindi kwa wakulima tangia mwezi wa tano mavuno yalipoanza ,kwa hiyo serikali inapotoa pesa kama hivi wao wenyewe ndio wanaanza kuyauza mahindi ya kwao waliyonunua kwa wananchi kwa Bei ya ulanguzi ,pesa yote serikali inayotoa wanaitumia kuuza shehena zao walizolangua kwa wakulima kwa Bei 35 ,40 na sasa wanajiuzia kwa 70000 sasa ukipeleka wewe mahindi yako yakiwa machache hawakusumbui tani Moja mpaka tano lakini ukiwa na mahindi mengi kuanzia ton kumi ,wanakukandamiza ili uende kuuza kwa walanguzi na walanguzi ni watu wao wenyewe ! Wanalangua Kisha wanajiuzia hiyo ndio biashara iliyopo nenda kaone vituo vidogo kama ,mpui ,kaengesa ,matai nk pole sana hii ndio tanzaniano !
Ulichoeleza kitakuwa sahihi,kwasababu jamaa mmoja wa NFRA aliniuliza "Kwani una gunia ngapi?",nikamtajia kiasi akasema huo ni mzigo mkubwa sana,nikamjibu sio mkubwa sana,ni wa kawaida tu.
 
Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.

OMBI LANGU KWA SERIKALI
1. Ninamuomba Waziri wa Kilimo aingilie kati hali hii,asione watu wanatorosha mazao nje ya nchi. Wakulima tunateseka kila kona kuanzia shambani hadi kwenye kuuza mazao uliyolima kwa jasho.

2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.

Ni hayo tu
Pole sana. Hiyo ni rushwa, yaani hao waliopo kwenye hilo ghara wanataka utoe rushwa ili wakuhudumie. Waziri wa kilimo naamini ndugu bashe95 amelisikia na wahusika watachukuliwa hatua za kisheria. Na siyo wewe tu bali wahusika wenye tabia hizo Maghara yote watachukuliwa hatua kali za kinidhamu. Na uzuri Komba ambaye ni mkurugenzi NFRA taarifa anazo na asipochukua hatua amejifukuzisha kazi
 
Lakini kwanini wenzako wanahudumiwa fasta wewe unaachwa? Una tatizo gani na wafanyakazi wa NFRA ?
 
Back
Top Bottom