Utaratibu wa kuiuzia mahindi Serikali kupitia NFRA ni mgumu sana

Utaratibu wa kuiuzia mahindi Serikali kupitia NFRA ni mgumu sana

Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.
Shida ni kuwa serikali haiweki namba za wazi simu za viongozi wenye kutatua hizi kero katika ngazi ya taifa, wanatengeneza mazingira ya rushwa
 
2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.
Iliwahi kutokea Iringa miaka ya 1980s, wafanyakazi walikuwa wanafoji kwa kutumia uume kama dole gumba maana vidole gummba vyao vilishafahamika
 
Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.

OMBI LANGU KWA SERIKALI
1. Ninamuomba Waziri wa Kilimo aingilie kati hali hii,asione watu wanatorosha mazao nje ya nchi. Wakulima tunateseka kila kona kuanzia shambani hadi kwenye kuuza mazao uliyolima kwa jasho.

2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.

Ni hayo tu
WAnzako wanakutengenezea mazingira ya rushwa ulivyo likondooo wala hujiongezi,toa helq uhudumiwe chapu hii nchi rushwa imehalarishwa usijitoe akili.
 
Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.

OMBI LANGU KWA SERIKALI
1. Ninamuomba Waziri wa Kilimo aingilie kati hali hii,asione watu wanatorosha mazao nje ya nchi. Wakulima tunateseka kila kona kuanzia shambani hadi kwenye kuuza mazao uliyolima kwa jasho.

2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.

Ni hayo tu
Nakuhakikishia hili halitatazamwa kwakuwa wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba, wanataka rushwa hao
 
Mkuu hili lilinikuta Mimi, japo nilifanikiwa kupima lakini ni kwa mbinde sana,, wahudumu wao NFRA ni Wala rushwa sana. Wanasumbua wakulima ili wawape/wapewe kitu kidogo. Nilijikuta najuta na kuapa kuwa sitopeleka tena mzigo kwenye haya magodauni ya NFRA.

Vipi upande wako kuhusu malipo.. ushalipwa..?
 
Kiukweli nimekoma aisee jamaa wanakulazimisha uchague mahindi sana kwahali hii bora nipeleke sokoni kuliko kuwauzia hawa
 
Kuna sehemu nilisotea two weeks, siwezi peleka NFRA mizigo wangu tena! Majamaa ni wasumbufu na Wapenda rushwa
IMG_20240725_103113.jpg
 
Kuna usumbufu umejitokeza wakutolipa walio peleka mahindi kituo cha kakozi, tunaomba serikali ifuatilie malipo kama ilivyoahidi kuwa ndani ya wiki mbili.
 
Wakuu habari za siku nyingi?

Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe.

Nikaelekezwa kuwa niyachekeche nikafanya hivyo.Nikaomba mifuko kwaajili ya ku rebag nikaambiwa imeisha nikaja kupata Jumatatu ya wiki hii ikawa haitoshi,nikaambiwa ni rebag hivyo hivyo wataniongezea.

Tokea hiyo jumatatu mifuko hawataki kunipa wanasema hadi nipime mahindi ambayo nime rebag,nikiwaambia wapime hawataki wanasema wako bize; Nawaambia sasa kama kunipa mifuko hamtaki na kupima pia hamtaki sasa mnataka nini?

Leo hii wamekuja kupima mzigo wa jirani yangu nilipowaomba waje wanipimie wamegoma eti wako bize.Kumbuka nalala lodge natumia gharama za chakula.

Aidha ukiacha usumbufu huo pia kuna vigharama vingi sana, kuna kuwalipa walinzi, kuchekecha mahindi ni gharama zako, ku rebag, kushona mifuko na kuipeleka kwenye streka, zote ni gharama zako.Mimi ni mara yangu ya kwanza mahindi.

Serikalini, aisee kwa hali niiliyoiona ni dhahiri bora uuzie tu Walanguzi hata kama bei zao ni ndogo, inauma sana. Ajabu ni kwamba waliokuja kwa kuchelewa wanahudumiwa fasta na kukuacha wewe uliyetangulia kufika.

OMBI LANGU KWA SERIKALI
1. Ninamuomba Waziri wa Kilimo aingilie kati hali hii,asione watu wanatorosha mazao nje ya nchi. Wakulima tunateseka kila kona kuanzia shambani hadi kwenye kuuza mazao uliyolima kwa jasho.

2. Aidha naomba Wizara ya Kilimo ingeteneza mfumo mzuri ambapo Wakulima wakifika kuuza mazao NFRA wawe wanasaini kwa dole gumbu kwenye mtandao ambapo taarifa zake zitaonekana hadi Makao makuu na akikaa muda mrefu hajahudumiwa basi wahusika waulizwe kwanini mkulima huyo amekaa muda mrefu hivyo?.

Ni hayo tu
Huu mfumo unawanufaisha zaidi maboss wa NFRA na siyo mkulima wa kawaida
 
Back
Top Bottom