Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nimerudi nyumbani Iringa kusalimia mwezi uliopita sasa kuna ndugu yangu alinunuaga shamba maeneo ya Tagamenda Iringa Mjini miaka mitatu iliyopita muda mfupi Serikali walilihitaji hilo eneo kwaajili yakufunga mitambo ya kufua umeme wananchi walijenga eneo hilo na kununua mashamba walihaidiwa kulipwa fidia
Sasa huyu ndugu yangu wakati nipo huku akanitonya kuwa wiki hili ndio wiki ya kulipwa fidia yao sasa juzi kaenda kuchukua pesa yake anasema hajafanikiwa kupata pesa yake hawatoi pesa bila kitambulisho cha mpiga kura
nimeangalia fomu yake naona ina muhuri wa mtendaji wa mtaa passport na inaeleza anastahili kulipwa fidia
Sasa huyu ndugu yangu wakati nipo huku akanitonya kuwa wiki hili ndio wiki ya kulipwa fidia yao sasa juzi kaenda kuchukua pesa yake anasema hajafanikiwa kupata pesa yake hawatoi pesa bila kitambulisho cha mpiga kura
nimeangalia fomu yake naona ina muhuri wa mtendaji wa mtaa passport na inaeleza anastahili kulipwa fidia