Utaratibu wa kumuwekea mtu dhamana kwa kutumia Mali(mfano hati ya kiwanja), mahakamani ukoje?

Utaratibu wa kumuwekea mtu dhamana kwa kutumia Mali(mfano hati ya kiwanja), mahakamani ukoje?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nachofahamu ni watu kuweka fedha mahakamani katika kumdhamini mtu ila kuhusu mali ndio sina uelewa inakujaje?

Kwa mfano, unaweza kuweka kitu kama hati ya kiwanja badala ya fedha katika kumdhamini mtu?

Kwa maneno mengine, hati ya kiwanja inaweza kutumika kumdhamini mtu mahakamani na hufanyika katika mazingira gani?

Mwenye uelewe atusaidie.

Nina sababu ya kuuliza hili swali.
 
Nachofahamu ni watu kuweka fedha mahakamani katika kumdhamini mtu ila kuhusu mali ndio sina uelewa inakujaje?

Kwa mfano, unaweza kuweka kitu kama hati ya kiwanja badala ya fedha katika kumdhamini mtu?

Kwa maneno mengine, hati ya kiwanja inaweza kutumika kumdhamini mtu mahakamani na hufanyika katika mazingira gani?

Mwenye uelewe atusaidie.

Nina sababu ya kuuliza hili swali.
nnachofahamu, Kama dhamana inaghalimu milion kumi,Kama hauna fedha taslimu,huwa unaweka mali yenye thamani hiyo
 
nnachofahamu, Kama dhamana inaghalimu milion kumi,Kama hauna fedha taslimu,huwa unaweka mali yenye thamani hiyo
Kwahiyo mtuhumuwa akitoroka mali hiyo inapigwa mnada au mdhamini unakamatwa?

Kwa maneno mengine,fedha inapotumika kama dhamana, mtuhumiwa akitoroka/akikimbia, pesa au mali ilitoyekwa dhamana ndio hutumika?

Mimi bado sielewi kwanini pesa hata iwe nyingi kiasi gani, bado haiwezi kuonyesha ni wapi mtuhumiwa alipo endapo atakimbia unless ni kesi ya madai.

Au mtunumiwa akikimbia, fedha au mali uliyoweka kama dhamana hurudishiwi mpaka mtuhumiwa apatikane?

Wanaojua watufafanulie.
 
Nimewahi kumdhamini mtu mahakamani kwa dhamana ya laki tano au milioni Tano, hapo nimesahau kidogo.
Sikutoa hata Senti, niliandika tu.
Hizo dhamana za kuweka fedha mezani sina uzoefu nazo.
Kwahiyo kama angekimbia, hiyo fedha usingerudishiwa?

Mashariti yalikuwaje?
 
Kwahiyo mtuhumuwa akitoroka mali hiyo inapigwa mnada au mdhamini unakamatwa?

Kwa maneno mengine,fedha inapotumika kama dhamana, mtuhumiwa akitoroka/akikimbia, pesa au mali ilitoyekwa dhamana ndio hutumika?

Mimi bado sielewi kwanini pesa hata iwe nyingi kiasi gani, bado haiwezi kuonyesha ni wapi mtuhumiwa alipo endapo atakimbia unless ni kesi ya madai.

Au mtunumiwa akikimbia, fedha au mali uliyoweka kama dhamana hurudishiwi mpaka mtuhumiwa apatikane?

Wanaojua watufafanulie.
Unaweka dhamana ya fedha, na wadhamini pia hata wawili Bashir Yakub labda atusaidie huyu kaka lawyer
 
Kwahiyo mtuhumuwa akitoroka mali hiyo inapigwa mnada au mdhamini unakamatwa?

Kwa maneno mengine,fedha inapotumika kama dhamana, mtuhumiwa akitoroka/akikimbia, pesa au mali ilitoyekwa dhamana ndio hutumika?

Mimi bado sielewi kwanini pesa hata iwe nyingi kiasi gani, bado haiwezi kuonyesha ni wapi mtuhumiwa alipo endapo atakimbia unless ni kesi ya madai.

Au mtunumiwa akikimbia, fedha au mali uliyoweka kama dhamana hurudishiwi mpaka mtuhumiwa apatikane?

Wanaojua watufafanulie.
Mdhamini kwenye kesi ndie ana hold dhamana ya kesi husika, huyu anasimama juu ya pesa na mali nyingine, kabla ya mahakama kujiridhisha mdhamini haonekani lazima kwanza imtafute popote panapowezekana akikosekana ndio hatua nyingine zifuate, japo hii huwa ngumu sana mara nyingi mdhamini hupatikana kulingana na mazingira tunayoishi.
 
Nimewahi kumdhamini mtu mahakamani kwa dhamana ya laki tano au milioni Tano, hapo nimesahau kidogo.
Sikutoa hata Senti, niliandika tu.
Hizo dhamana za kuweka fedha mezani sina uzoefu nazo.
Hii ndio maana yake, mdhamini anachukua nafasi kubwa zaidi ya mali kama hati za nyumba/kiwanja na fedha.
 
Back
Top Bottom