mkweli wa mambo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 329
- 180
Habari ndugu, jamaa na marafiki wote humu.
Leo nimeona niwe mkweli na muwazi ili kuepusha matatizo ntakayoyapata kama nisipouliza hili jambo. Kiukweli mimi jamani sijawahi kununua kiwanja (ardhi) katika maisha yangu, nashukuru mungu amenijalia kidogo naweza nkatimiza azma yangu ya kununua kiwanja mwezi ujao.
Sasa wadau kutokana na utapeli uliokithiri pamoja na matatizo mengi niliyokuwa nikiyaona kwa wenzangu na ndugu zangu wanaponunuaga viwanja yananipa wasiwasi wa kufanya jambo hili bila kuuliza
1. hivi ni vitu gani hasa vya kuzingatia kabla ya kununua kiwanja ili kuepuka utapeli?
2. je kuna utaratibu maalumu wa kisheria katika mchakato mzima wa kuuza/kununua kiwanja?
3. Nikishanunua kiwanja, je ni document zipi natakiwa kuwa nazo kama kiashilio halali kuwa mimi ndio mmilika halali wa kiwanja hicho.( nasikia kuwa unapewa hati ila ndoivo tena mwenzenu hata sample ya hati siijui,so hata nikipewa hati ya uwongo mi ntakubali tu, naombeni kama kuna mwenye sample ya hati halali mkinionesha ntashukuru sana)
4.je ,biashara hii ya kuuziana kiwanja inafanywa na watu wangapi? Ni mimi mnunuaji na muuzaji tu au kuna watu wengine pia wanatakiwa wawepo?
Nitangulize shukrani zangu kwa wadau naamini JF ndo sehemu pekee ya kupata mwongozo ulio sahihi.
Leo nimeona niwe mkweli na muwazi ili kuepusha matatizo ntakayoyapata kama nisipouliza hili jambo. Kiukweli mimi jamani sijawahi kununua kiwanja (ardhi) katika maisha yangu, nashukuru mungu amenijalia kidogo naweza nkatimiza azma yangu ya kununua kiwanja mwezi ujao.
Sasa wadau kutokana na utapeli uliokithiri pamoja na matatizo mengi niliyokuwa nikiyaona kwa wenzangu na ndugu zangu wanaponunuaga viwanja yananipa wasiwasi wa kufanya jambo hili bila kuuliza
1. hivi ni vitu gani hasa vya kuzingatia kabla ya kununua kiwanja ili kuepuka utapeli?
2. je kuna utaratibu maalumu wa kisheria katika mchakato mzima wa kuuza/kununua kiwanja?
3. Nikishanunua kiwanja, je ni document zipi natakiwa kuwa nazo kama kiashilio halali kuwa mimi ndio mmilika halali wa kiwanja hicho.( nasikia kuwa unapewa hati ila ndoivo tena mwenzenu hata sample ya hati siijui,so hata nikipewa hati ya uwongo mi ntakubali tu, naombeni kama kuna mwenye sample ya hati halali mkinionesha ntashukuru sana)
4.je ,biashara hii ya kuuziana kiwanja inafanywa na watu wangapi? Ni mimi mnunuaji na muuzaji tu au kuna watu wengine pia wanatakiwa wawepo?
Nitangulize shukrani zangu kwa wadau naamini JF ndo sehemu pekee ya kupata mwongozo ulio sahihi.