DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Naona watu wanapinga mafuta ya upako na wengine wakikubali.
Binafsi napinga utapeli unaofanywa na baadhi ya watu kwa kutumia dini .
Ila naomba nitoe ufafanui kidogo
Mwaka 2002 Babu yangu aliporudi Tanzania kutoka Saudi Arabia Macca katika mji wa Madina alikuja na maji Kama Lita tano hivi
Yale maji walipewa maujaji huko Macca (Madina) nakumbuka tulikuwa kila MTU anapewa kifuniko anakunywa
Yale maji yalikuwa tasteless -yapo Kama maji ya dukani tu Ila alituambia haya maji ni ya baraka.
Sasa kwa upande wa pili huwa wanakuaga na maji ya upako, mafuta n.k
Kinachotekea leo hii ni watu kutokuelewa maji ya upako yanapatikana vipi hii inaleta mkanganyiko na baadhi ya wajanja kupiga hela .
Kiufupi natoa ufafanuzi
Unaweza kuchukua maji ukayafanyia visomo then ukawa unayatumia katika ibada zako
Vilevile unaweza kuchukua mafuta ukayaombea na ukawa unayatumia katika ibada zako.
Je mafuta na maji yanaleta uponyaji ?
Ni swala la imani zaidi ukiamini kitu au jambo litakuwa.
na Kwa wale wanoamini mambo ya universe huwa wanatumia namba katika kumanifest mambo yao n.k is all about believe and faith.
ushauri
Viongozi wa dini mnaweza kuwashauri waumini wenu kuandaa mafuta au maji na kuyaombea wakawa wanatumia katika ibada zao kuliko kuwauzia.
Na mwisho MTU mwenye imani haitaji mafuta wala maji katika ibada zake.
Binafsi napinga utapeli unaofanywa na baadhi ya watu kwa kutumia dini .
Ila naomba nitoe ufafanui kidogo
Mwaka 2002 Babu yangu aliporudi Tanzania kutoka Saudi Arabia Macca katika mji wa Madina alikuja na maji Kama Lita tano hivi
Yale maji walipewa maujaji huko Macca (Madina) nakumbuka tulikuwa kila MTU anapewa kifuniko anakunywa
Yale maji yalikuwa tasteless -yapo Kama maji ya dukani tu Ila alituambia haya maji ni ya baraka.
Sasa kwa upande wa pili huwa wanakuaga na maji ya upako, mafuta n.k
Kinachotekea leo hii ni watu kutokuelewa maji ya upako yanapatikana vipi hii inaleta mkanganyiko na baadhi ya wajanja kupiga hela .
Kiufupi natoa ufafanuzi
Unaweza kuchukua maji ukayafanyia visomo then ukawa unayatumia katika ibada zako
Vilevile unaweza kuchukua mafuta ukayaombea na ukawa unayatumia katika ibada zako.
Je mafuta na maji yanaleta uponyaji ?
Ni swala la imani zaidi ukiamini kitu au jambo litakuwa.
na Kwa wale wanoamini mambo ya universe huwa wanatumia namba katika kumanifest mambo yao n.k is all about believe and faith.
ushauri
Viongozi wa dini mnaweza kuwashauri waumini wenu kuandaa mafuta au maji na kuyaombea wakawa wanatumia katika ibada zao kuliko kuwauzia.
Na mwisho MTU mwenye imani haitaji mafuta wala maji katika ibada zake.