Utaratibu wa kupata frame za pale Mwenge upo vipi?

Streptokinase

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2018
Posts
276
Reaction score
436
Wadau kama title inavojieleza, ningeopenda kufahamishwa utaratibu wa kufuata ili kupata frame zile za maeneo ya Mwenge.

Natanguliza shukrani.
 
Ngoja na Mimi Niweke kambi hapa, nisubiri majibu...Sisi wapemba Biashara ndio shughuli zetu....Tena Mwenge......
 
Wadau kama title inavojieleza, ningeopenda kufahamishwa utaratibu wa kufuata ili kupata frame zile za maeneo ya Mwenge.

Natanguliza shukrani.
Unamfata mwenye jengo au msimamiz unaongea nae vizur tu


Baadh ya majengo madalal ndio wenye maamuz ya kupangisha kwa hiyo unapaswa kuwasiliana nao
 
Unamfata mwenye jengo au msimamiz unaongea nae vizur tu


Baadh ya majengo madalal ndio wenye maamuz ya kupangisha kwa hiyo unapaswa kuwasiliana nao

Aah sikua specific nataka kujua utaratibu wa kupata zile frame mpya za serikali zinazojengwa pale mwenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…