holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Mwaka 2017 serikali ilileta utaratibu mzuri mno wa wananchi wa Tanzania kupata kitambulisho hiki muhimu cha Taifa
Iliendesha zoezi la kujiandikisha kuweza kupata vitambulisho hivi kila kijiji, na zoezi lilifanikiwa kwa zaidi za asilimia 70,kwani watanzania wengi walijiandikisha na kuweza kupata vitambulisho vyao,
Tangu zoezi hilo lisitishwe,hakuna tena zoezi lingine kama hilo,badala yake wananchi kulazimika kwenda wilayani (ofsi za nida) ili kuchukua au kupata hivi vitambulisho.
Lakini licha ya wananchi kulazimika kufanya bado wakienda huko huzungushwa sana mpaka wanakata tamaa, na katika ajira za serikali na sekta binafsi huwezi kupata kazi bila ya NIDA,hivyo wananchi wengi wanakosa ajira kwa kadhia hii.
Mimi kama mhanga wa jambo hili naiomba serikali yetu sikivu,inayojali vilio vya wananchi hasa wanyonge,waendeshe zoezi kama lile la mwanzo,ili wananchi ambao hawana nida wachukue kiurahsi ukilinganisha na hivi sasa,nadhan wale wanaohusika na NIDA waweke vituo vyao vijijini tuchukue NIDA zetu.
Thank you
Iliendesha zoezi la kujiandikisha kuweza kupata vitambulisho hivi kila kijiji, na zoezi lilifanikiwa kwa zaidi za asilimia 70,kwani watanzania wengi walijiandikisha na kuweza kupata vitambulisho vyao,
Tangu zoezi hilo lisitishwe,hakuna tena zoezi lingine kama hilo,badala yake wananchi kulazimika kwenda wilayani (ofsi za nida) ili kuchukua au kupata hivi vitambulisho.
Lakini licha ya wananchi kulazimika kufanya bado wakienda huko huzungushwa sana mpaka wanakata tamaa, na katika ajira za serikali na sekta binafsi huwezi kupata kazi bila ya NIDA,hivyo wananchi wengi wanakosa ajira kwa kadhia hii.
Mimi kama mhanga wa jambo hili naiomba serikali yetu sikivu,inayojali vilio vya wananchi hasa wanyonge,waendeshe zoezi kama lile la mwanzo,ili wananchi ambao hawana nida wachukue kiurahsi ukilinganisha na hivi sasa,nadhan wale wanaohusika na NIDA waweke vituo vyao vijijini tuchukue NIDA zetu.
Thank you