Utaratibu wa kupima Coronavirus kwa wanaosafiri nje ya Nchi

Utaratibu wa kupima Coronavirus kwa wanaosafiri nje ya Nchi

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Kufuatia ongezeko la visa vipya vya maambukizi, nchi zimeweka taratibu mbalimbali kwa wasafiri kuingia na kutoka ili kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19

"Taratibu hizi ni pamoja na kuweka sharti la kupima COVID-19 ili kupunguza au kuzuia kuingia kwa ugonjwa huu katika nchi hizo"

"Napenda kuwafahamisha kuwa wasafiri wote wanaoishia nchi za Marekani, Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu, baadhi ya nchi za Ulaya na India watatakiwa kufanyiwa kipimo cha haraka (COVID-19 Rapid Antigen Test) kabla ya kuondoka"

"Wasafiri wote wanaunganisha usafiri wa ndege kupitia Tanzania wanapaswa kufanya kipimo cha haraka (COVID-19 Rapid Antigen Test) katika uwanja wa ndege ndani ya masaa 6 kabla ya kusafiri na wapanaswa kuwa na cheti halali cha chanjo ya COVID-19"

——— Prof. Abel Makubi, Katibu Mkuu (Afya)

Screenshot_20211225-180845_1.jpg
 
Kufuatia ongezeko la visa vipya vya maambukizi, nchi zimeweka taratibu mbalimbali kwa wasafiri kuingia na kutoka ili kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19

"Taratibu hizi ni pamoja na kuweka sharti la kupima COVID-19 ili kupunguza au kuzuia kuingia kwa ugonjwa huu katika nchi hizo"

"Napenda kuwafahamisha kuwa wasafiri wote wanaoishia nchi za Marekani, Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu, baadhi ya nchi za Ulaya na India watatakiwa kufanyiwa kipimo cha haraka (COVID-19 Rapid Antigen Test) kabla ya kuondoka"

"Wasafiri wote wanaunganisha usafiri wa ndege kupitia Tanzania wanapaswa kufanya kipimo cha haraka (COVID-19 Rapid Antigen Test) katika uwanja wa ndege ndani ya masaa 6 kabla ya kusafiri na wapanaswa kuwa na cheti halali cha chanjo ya COVID-19"

——— Prof. Abel Makubi, Katibu Mkuu (Afya)

View attachment 2057204

Jana nimeshindwa kuondoka na Emirate uwanja wa Nyerere hata baada ya kutimiza masharti yote.

Nilikuwa Airport tangu saa 2 asubuhi tukapimwa hicho kipimo cha rapid mwisho wa siku safari haikuwepo.Gharama za kipimo 50 usd usafiri precious from KIA to Dar nani anaturejeshea ?.
 
Jana nimeshindwa kuondoka na Emirate uwanja wa Nyerere hata baada ya kutimiza masharti yote.

Nilikuwa Airport tangu saa 2 asubuhi tukapimwa hicho kipimo cha rapid mwisho wa siku safari haikuwepo.Gharama za kipimo 50 usd usafiri precious from KIA to Dar nani anaturejeshea ?.
Mkabeni Prof Makubi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
hizi homa na mafua zinazotupiga sidhani kama ni salama sana ...
 
Sasa hipimo vyote hivyo halafu bado munahitaji cheti cha chanjo?
Kimoja kiondoke aisee kupima au kuchanja musituzingie aisee
 
Pole sana. Haya masharti tunawekewa kwa vile watu wanaona hatuko serious katika kupambana na corona. Ukitaka kujua kuwa hatuko serious ona watu kwenye mikusanyiko, no barakoa, hakuna kupima, chanjo inasuasua na ugonjwa wenyewe unaitwa vimafua mafua... Serikali inayaaita eti mafua ya msimu. Sijui huu msimu wa mafua ya watu wengi umeanza tu hiki kipindi cha corona?
Jana nimeshindwa kuondoka na Emirate uwanja wa Nyerere hata baada ya kutimiza masharti yote.

Nilikuwa Airport tangu saa 2 asubuhi tukapimwa hicho kipimo cha rapid mwisho wa siku safari haikuwepo.Gharama za kipimo 50 usd usafiri precious from KIA to Dar nani anaturejeshea ?.
 
unapimwa kama vile mdudu wa maabara. Hii dunia inapokwenda hata hatuielewi
 
Pole sana. Haya masharti tunawekewa kwa vile watu wanaona hatuko serious katika kupambana na corona. Ukitaka kujua kuwa hatuko serious ona watu kwenye mikusanyiko, no barakoa, hakuna kupima, chanjo inasuasua na uginjwa wenyewe unaitwa vimafua mafua...

Ebu fikiria ukae departure lounge kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 9 adhuhuri unaambiwa hakuna Safari.

Tulikuwa group la wahindi wengine walilia ungefikiri Tanzania kuna Vita kama Ethiopia.

Hii nchi yetu tuna foreign minister,Health minister wapo wapo hakuna mtetezi wa wananchi kazi yao sijui nini!.
 
Kufuatia ongezeko la visa vipya vya maambukizi, nchi zimeweka taratibu mbalimbali kwa wasafiri kuingia na kutoka ili kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19

"Taratibu hizi ni pamoja na kuweka sharti la kupima COVID-19 ili kupunguza au kuzuia kuingia kwa ugonjwa huu katika nchi hizo"

"Napenda kuwafahamisha kuwa wasafiri wote wanaoishia nchi za Marekani, Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu, baadhi ya nchi za Ulaya na India watatakiwa kufanyiwa kipimo cha haraka (COVID-19 Rapid Antigen Test) kabla ya kuondoka"

"Wasafiri wote wanaunganisha usafiri wa ndege kupitia Tanzania wanapaswa kufanya kipimo cha haraka (COVID-19 Rapid Antigen Test) katika uwanja wa ndege ndani ya masaa 6 kabla ya kusafiri na wapanaswa kuwa na cheti halali cha chanjo ya COVID-19"

——— Prof. Abel Makubi, Katibu Mkuu (Afya)

View attachment 2057204
Hii wizara inamawenge sana.
Kwa nini nasema hivi.
Mwezi Octoba nilikuwa nasafiri na nikapima 24hrs kabla kusafiri pamoja na kutumiwa report kwa simu.
La kushangaza kufika airport kufanya check in mtandao mzima wa wizara afya haukuwa hewani hivyo ikawa vigumu kuhakiki taarifa. Mwisho wake nusu ya abiria tuliachwa kwani muda wa ndege kuruka ulishawadia.

Upande wa ndege wao hawakuwa na jinsi walisema ulizeni wizara sisi hatuwezi kuacha kuruka.
Niliingia gharama lukuki na pamoja kuuliza hakuna msemaji wa wizara aliyejitokeza walau tupime tena bila malipo. Na kulipia nyongeza tiketi!
Hivyo wanakula pesa ya watu kiaina.
Hebu mjiongeze
 
Jana nimeshindwa kuondoka na Emirate uwanja wa Nyerere hata baada ya kutimiza masharti yote.

Nilikuwa Airport tangu saa 2 asubuhi tukapimwa hicho kipimo cha rapid mwisho wa siku safari haikuwepo.Gharama za kipimo 50 usd usafiri precious from KIA to Dar nani anaturejeshea ?.
Pole sana
 
Ebu fikiria ukae departure lounge kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 9 adhuhuri unaambiwa hakuna Safari.

Tulikuwa group la wahindi wengine walilia ungefikiri Tanzania kuna Vita kama Ethiopia.

Hii nchi yetu tuna foreign minister,Health minister wapo wapo hakuna mtetezi wa wananchi kazi yao sijui nini!.
Kumbe we mhindi?
 
Hii wizara inamawenge sana.
Kwa nini nasema hivi.
Mwezi Octoba nilikuwa nasafiri na nikapima 24hrs kabla kusafiri pamoja na kutumiwa report kwa simu.
La kushangaza kufika airport kufanya check in mtandao mzima wa wizara afya haukuwa hewani hivyo ikawa vigumu kuhakiki taarifa. Mwisho wake nusu ya abiria tuliachwa kwani muda wa ndege kuruka ulishawadia.

Upande wa ndege wao hawakuwa na jinsi walisema ulizeni wizara sisi hatuwezi kuacha kuruka.
Niliingia gharama lukuki na pamoja kuuliza hakuna msemaji wa wizara aliyejitokeza walau tupime tena bila malipo. Na kulipia nyongeza tiketi!
Hivyo wanakula pesa ya watu kiaina.
Hebu mjiongeze
Du. Hii ni hatari. Hivi na kuingia Tanzania nako unatakiwa uwe na cheti gani?
 
Pole sana. Haya masharti tunawekewa kwa vile watu wanaona hatuko serious katika kupambana na corona. Ukitaka kujua kuwa hatuko serious ona watu kwenye mikusanyiko, no barakoa, hakuna kupima, chanjo inasuasua na ugonjwa wenyewe unaitwa vimafua mafua... Serikali inayaaita eti mafua ya msimu. Sijui huu msimu wa mafua ya watu wengi umeanza tu hiki kipindi cha cor
Jana nimeshindwa kuondoka na Emirate uwanja wa Nyerere hata baada ya kutimiza masharti yote.

Nilikuwa Airport tangu saa 2 asubuhi tukapimwa hicho kipimo cha rapid mwisho wa siku safari haikuwepo.Gharama za kipimo 50 usd usafiri precious from KIA to Dar nani anaturejeshea ?.
Kwa nini mlikataliwa wakati mna vyeti? Tatizo lilikuwa ni nini?
 
Kitaachaje kuenea? Naona makanisani na misikitini hakuna barakoa. Kwenye daladala hivyo hivyo. Majumbani, maofisini, hivyo hivyo. Mazingira ya aina hiyo kinayapenda sana. Tumshukuru Mungu kuwa hakina makali kama delta na variant wale wa mwanzo.
Na kimetukamata takribani watanzania wote. Kama kingekuwa kinaua tungekufa mamilioni.
 
Kitaachaje kuenea? Naona makanisani na misikitini hakuna barakoa. Kwenye daladala hivyo hivyo. Majumbani, maofisini, hivyo hivyo. Mazingira ya aina hiyo kinayapenda sana. Tumshukuru Mungu kuwa hakina makali kama delta na variant wale wa mwanzo.
Lakini tungefanyaje tofauti kwa mfano? Hakuna njia mbadala ya kuzuia haya magonjwa ya kuambukizwa kwa hewa na kulazimisha tubadilishe lifestyle yetu ili tusipate hii corona ni kujidanganya tu.
 
Ebu fikiria ukae departure lounge kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 9 adhuhuri unaambiwa hakuna Safari.

Tulikuwa group la wahindi wengine walilia ungefikiri Tanzania kuna Vita kama Ethiopia.

Hii nchi yetu tuna foreign minister,Health minister wapo wapo hakuna mtetezi wa wananchi kazi yao sijui nini!.
Tukitafakari sana ni madhara ya ubebari
 
Back
Top Bottom