waziridagaa
Member
- Nov 13, 2022
- 18
- 24
Darasa la buree wafanya biashara wenzangu.
Utaratibu na vitu vinavyo hitajika.
1. Inatakiwa kuwa na tin namba na leseni ya biashara kutoka tra.
2.Inatakiwa uwe na leseni ndogo ya kusafirisha dagaa ndani ya tanzania.
3. Inataki kuwa na kibari ya kusafisha mzigo wa dagaa kutoka wizara ya mali asili.
Baada ya hapo kupata hela ni inje inje kwani kuna inchi kama Congo dagaa wanahitajika sanaa.
Karibu sana kwa wanao hitaji dagaa mwanza kirumba mwaloni. Mawasiliano .0755213580.
Utaratibu na vitu vinavyo hitajika.
1. Inatakiwa kuwa na tin namba na leseni ya biashara kutoka tra.
2.Inatakiwa uwe na leseni ndogo ya kusafirisha dagaa ndani ya tanzania.
3. Inataki kuwa na kibari ya kusafisha mzigo wa dagaa kutoka wizara ya mali asili.
Baada ya hapo kupata hela ni inje inje kwani kuna inchi kama Congo dagaa wanahitajika sanaa.
Karibu sana kwa wanao hitaji dagaa mwanza kirumba mwaloni. Mawasiliano .0755213580.