Heshima mbele sana wakuu.
Kama ilivyoelezwa kwenye kichwa cha habari hapo juu, naomba kujuzwa utaratibu unaotakiwa kufuatwa ili kuweza kusajili eneo ambapo tayari kuna nyumba na watu wanaishi. Inawezekana kusajili Ardhi ikiwa ni pamoja na nyumba hiyo?
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Inaruhusiwa kwani usajili na umiliki ni wa ardhi tu na iwapo kuna nyumba basi kisheria huhesabika kama ardhi iliyoendelezwa
Ahsante sana mkuu... Sasa utaratibu wa kusajili ardhi iliyoendelezwa ukoje?