Mwajiri kaniachisha kazi bila kufanya haya,
1. Hajatoa nafasi ya kukata rufaa.
2. Hakutoa cheti cha utumishi.
3. Kamati ya kuchunguza tuhuma haikuwa
na kiongozi kutoka chama cha wafanyak
azi.
4. Kikao cha nidhamu kilifanyika nje ya
wilaya tukio lilipotokea.
5. Baada ya kikao cha nidhamu ilipita miezi
miwili ndipo akatoa barua ya termination
Je ni kipi kati ya hivyo siyo sahihi kwenye utaratibu wa kisheria?
1. Hajatoa nafasi ya kukata rufaa.
2. Hakutoa cheti cha utumishi.
3. Kamati ya kuchunguza tuhuma haikuwa
na kiongozi kutoka chama cha wafanyak
azi.
4. Kikao cha nidhamu kilifanyika nje ya
wilaya tukio lilipotokea.
5. Baada ya kikao cha nidhamu ilipita miezi
miwili ndipo akatoa barua ya termination
Je ni kipi kati ya hivyo siyo sahihi kwenye utaratibu wa kisheria?