utaratibu wa kusua sua

MAKUNENGO

Member
Joined
Oct 25, 2014
Posts
69
Reaction score
6
hivi ni Tz hii ya mwl ya Jk Nyerere ndio ambayo imebadilika hivi? mpaka leo sitak kuamini watu wote waliokosa mkopo hakuna hata :hail:tamko Rasm lililotolew la kutia moyo sisi wana wa jangwani kuhusu muafaka wetu. oky ntahairisha mwaka wa masomo lakin kama kuna watu wamechota fungu letu la mkopo na mungu atawaona, wacha nikawajibike kwa uaminifu uko mtaani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…