Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,058 Reaction score 14,382 Jan 17, 2024 #1 Ulimwegu wa sasa umekuwa na Ndoa zinazovunjika kila uchwao na ukiangalia sababu kubwa ni kutofahamiana na kuchunguzana kabla ya Ndoa. Wazee wa zamani walikuwa wanatafutiwa wake na wazazi na ndoa zilidumu kwasababu kulikuwa na uchunguzi wa tabia kabla ya ndoa. Swali : Swala la kijana kutafutiwa Mke lirudi tena au vijana waendelee kujitafutia wenyewe?
Ulimwegu wa sasa umekuwa na Ndoa zinazovunjika kila uchwao na ukiangalia sababu kubwa ni kutofahamiana na kuchunguzana kabla ya Ndoa. Wazee wa zamani walikuwa wanatafutiwa wake na wazazi na ndoa zilidumu kwasababu kulikuwa na uchunguzi wa tabia kabla ya ndoa. Swali : Swala la kijana kutafutiwa Mke lirudi tena au vijana waendelee kujitafutia wenyewe?
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 Jan 17, 2024 #2 zama zimebadolika, unadhani wazee wa 2020's ni sawa na wazee wa miaka ya 1980's?
jo5 JF-Expert Member Joined Dec 15, 2022 Posts 894 Reaction score 1,381 Jan 17, 2024 #3 Kila mtu atafute mwenye na apambane na Hali yake
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Joined Jul 27, 2017 Posts 9,758 Reaction score 18,431 Jan 18, 2024 #4 Tafuta mwenza mwenyewe, oa/olewa mwenyewe, penda mwenyewe. Jamii ikupe ushauri tu ambao sio lazima kuufuata pia. Jamii ya sasa ni changamoto
Tafuta mwenza mwenyewe, oa/olewa mwenyewe, penda mwenyewe. Jamii ikupe ushauri tu ambao sio lazima kuufuata pia. Jamii ya sasa ni changamoto
mbwangali JF-Expert Member Joined Jan 8, 2021 Posts 2,266 Reaction score 4,057 Jan 18, 2024 #5 Vijana waambiwe ukweli kwamba ndoa sio lazima, wanaweza kuishi maisha ya furaha bila ndoa