Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Ulimwegu wa sasa umekuwa na Ndoa zinazovunjika kila uchwao na ukiangalia sababu kubwa ni kutofahamiana na kuchunguzana kabla ya Ndoa.
Wazee wa zamani walikuwa wanatafutiwa wake na wazazi na ndoa zilidumu kwasababu kulikuwa na uchunguzi wa tabia kabla ya ndoa.
Swali : Swala la kijana kutafutiwa Mke lirudi tena au vijana waendelee kujitafutia wenyewe?
Wazee wa zamani walikuwa wanatafutiwa wake na wazazi na ndoa zilidumu kwasababu kulikuwa na uchunguzi wa tabia kabla ya ndoa.
Swali : Swala la kijana kutafutiwa Mke lirudi tena au vijana waendelee kujitafutia wenyewe?