Closed wapi wewe?Thread closed
basi eleekeeni ustawi wa jamii mkaeleze adhma yenu.Nimemwambia na akanielewa
Punguza chukiWaislamu mahari huwa ndogo na ndoa hudumu muda kidogo
Mwanaume au mwanamke wa kiislamu kuomba talaka ni kitu kidogo tu
Ndoa za Kikiristo hata kuwe na changamoto wanandoa wanatakiwa kuishi hadi kifo kiwatenganishe
Wanaume wa kiislamu pamoja na kuruhusiwa kuoa wake hadi wanne kutwa husingizia changamoto na kuoa wengine.
Mtu unaruhusiwa kuoa wake wanne huyo mmoja akikupa changamoto huwezu vumilia kidume wewe?
Akili huna za kuishi na mke kwa mujibu wa Biblia
Biblia inatamka wazi kuwa wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili..Na unapooa huwa unaulizwa kama una akili timamù.Lengo la swali ni kujua kama una akili za kuishi na mke. Ukiona mwanaume anampa talaka mkewe au anasema mke kanishinda ujue huyo mwanaume akili timamu hana za kuishi na mwanamke.Kifupi huyo mwanaume alitakiwa kuwa padri wa kanisa katoliki ambao hawao hawaoi.
Huyo mwanamke anayetaka kupewa talaka anatakiwa kumburuza mahakamani huyo mwaname huyu.mleta mada kwa kumtapeli na kumtaka amlipe fidia kubwa sana akielezea kuwa wakati anamuoa alijifanya kuwa ana akili timamu wakati kwenye ndoa kaonyesha wazi mambo mengi nyumbani na kwenye ndoa anaonyesha wazi akili hana.Na atoe ushahidi mfano hatunzi familia nk nk
Habari za mume kumuua mke wake huwa mnazipenda kuzisikia?Waislamu mahari huwa ndogo na ndoa hudumu muda kidogo
Mwanaume au mwanamke wa kiislamu kuomba talaka ni kitu kidogo tu
Ndoa za Kikiristo hata kuwe na changamoto wanandoa wanatakiwa kuishi hadi kifo kiwatenganishe
Wanaume wa kiislamu pamoja na kuruhusiwa kuoa wake hadi wanne kutwa husingizia changamoto na kuoa wengine.
Mtu unaruhusiwa kuoa wake wanne huyo mmoja akikupa changamoto huwezu vumilia kidume wewe?
Akili huna za kuishi na mke kwa mujibu wa Biblia
Biblia inatamka wazi kuwa wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili..Na unapooa huwa unaulizwa kama una akili timamù.Lengo la swali ni kujua kama una akili za kuishi na mke. Ukiona mwanaume anampa talaka mkewe au anasema mke kanishinda ujue huyo mwanaume akili timamu hana za kuishi na mwanamke.Kifupi huyo mwanaume alitakiwa kuwa padri wa kanisa katoliki ambao hawao hawaoi.
Huyo mwanamke anayetaka kupewa talaka anatakiwa kumburuza mahakamani huyo mwaname huyu.mleta mada kwa kumtapeli na kumtaka amlipe fidia kubwa sana akielezea kuwa wakati anamuoa alijifanya kuwa ana akili timamu wakati kwenye ndoa kaonyesha wazi mambo mengi nyumbani na kwenye ndoa anaonyesha wazi akili hana.Na atoe ushahidi mfano hatunzi familia nk nk
Closed wapi wewe?
Mwanaume kushindwa kuishi na mke ni wazi kuwa huyo mwanaume akili hana
Asiye na akili haruhusiwi kufungua kesi ya talaka
Ungeshauri mwanaume akapimwe akili kwanza hospitali ya vichaa mirembe
Habari hizo ni nadra sana kuzisikia na ni matokeo ya wanaume wasio na akili kuoaHabari za mume kumuua mke wake huwa mnazipenda kuzisikia?
Ntakupa mbinu ya kutoa talaka ila nakuozesha dada angu hata bila mahari. mimi nataka sitara ya dada angu.Kwema humu, nisiwachoshe nimeishi na mke wangu kwwnye ndoa mpaka sasa ni miaka mitano ila kutokqna na changamoto za ndoa nilikuwa nahitaji tuachane kwa amani na mke wangu pasi kugombana, kwahyo nilikuwa nahitaji kumpa talaka
Msaada wenu taratibu za kuandika talaka upoje?
Kwahyo kwa maoni yako watu wakishaoana haruhusiwi kuachana?Habari hizo ni nadra sana kuzisikia na ni matokeo ya wanaume wasio na akili kuoa
Mwanaume asiye na akili hatakiwi kuoa.
Kuoa kunahitaji mwanaume mwenye akili sio jinga jinga.Hayo majinga jinga ndio huua
Yaan ni muislam ndo uanzishe mpaka uzi? Wewe chana kikaratasi hata kama ni cha kufungia maandazi, andika hivi" kuanzia keo mimi na wewe basi" mpelekeeNi muislmu
Humu ndani watu wamedakia na kuanza kutoa ushauri wa aanzie wapi kutoa talaka? Wanamjua huyo wanayemshauri aanzie wapi process za talaka kama ana akili timamu?Swali limepata jibu...
VInginevyo ulivyoandika hakuna hata kimoja jamaa alichouliza hivyo hakuna haja ya kupoteza wakati na kujaza 'server'
Huwa wanasemaga hivyo, wanawake wote awafanani labda kama una tatizoNikitoka nimetoka, sirudi tena
Kuna wanawake wanatabia ngumu labda uwe Yesu ndo utaweza ishi nao.Closed wapi wewe?
Mwanaume kushindwa kuishi na mke ni wazi kuwa huyo mwanaume akili hana
Asiye na akili haruhusiwi kufungua kesi ya talaka
Ungeshauri mwanaume akapimwe akili kwanza hospitali ya vichaa mirembe
Upo tiyari kukaa bila kuoa tena mpendwa? Kumbuka kuachana ni machukizo kwa Mungu!
Malaki 2:16
Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
Kama ni muislam nenda bakwata wilaya. Kama ni mkristo nenda kanisani au ofisi ya kata kwanza.
Kama hamna mali huna haja ya talaka we beba suruali zako jiondokee,
Kwa wakristo talaka ni kwa matajiri ili wagawane mali kisheria sasa weww kapuku talaka ya nini.
Nb talaka huandiki wewe inaandikwa na hakimu based on your grounds za kuachana
Nikitoka nimetoka, sirudi tena
Kama hutajali hebu nitumie picha ya mke unsyetaka kumuacha,huenda mungu kamueusha na mengi aje kwangu,[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]
Uzi ufungwe Kama umemtakia inatosha ,,,kumuandikia fanya TU Kama unataka aende kwao....lkn kisheria unapaswa kumtenga yaani alale chumba chake na mahitaji ya msingi ayapate Kama chakula na malazi,,...Nimekuelewa ndugu, ngoja nimuandikie mana tayari nishamtamkia